Simu haichaji mpaka niizime

kampuni zote ni hivyo mkuu unafikiri kwanini samsung ili upate warranty ya ADH wanataka utume imei yako kwao? ikiwa ni imei ya samsung ya korea au usa hupati warranty ukiwa Tz.

sidhani kama kuna kampuni inaruhusu hivyo ununue simu kwengine ukatumie kwengine ingekuwa wanaruhusu kila mtu angenunua simu kwa bei rahisi marekani na kuja kutumia huku
 
Sawa lakini kwa tatizo kama hili ambalo ni fault yao kama kampuni authani wanabidi wachukue responsibility hata kwa walioko nje ya warranty.

Kusema ukweli kununua LG ni fundisho kubwa sana kuona kwa nini Samsung na Apple wanakimbiza kwa mauzo. Yani Tecno TECNO!!! ana service centre bongo LG anashindwa.
 
Issue kama hizo huwa zinatokea kwa any manufacturer/vendor. Jaribu ku-google unresponsive touch kwenye Apple after upgrading to latest iOS uone. A lot of people are returning their phones kwa vendors wao ili ziweze kubadilishwa. Cha msingi ni kuwa na product zenye warranty as Chief said, although najua ni expensive kiasi fulani, but in case of such faults, it's worth it!
 
Mkuu pitia link nilizo toa issue hizi za touch screen (mostly software) sijui dead pixels ni issues ndogo but kitu cha Motherboard failure ni tatizo kubwa watu wenye warranty zao wanakaa miezi bila simu kisa wamezipeleka repair centre na zinatengenezwa then zinarudi na baada ya muda tatizo lipo pale pale, wengine wanapewa replacement (mara nyingine zinakuwa refurbished) ambazo ni batch ile ile yenye problem then later hiyo simu inaanza kuboot loop kweli mtu kama huyo atakuwa na imani na LG.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…