Kwanza sio kweli kwamba asilimia kubwa ya simu mpya ni refurbished.
Simu ambayo ni refurbished ni ile ambayo ilikuwa used na ikarudishwa warranty center/service center kwaajili ya kuongeza pesa na kupata toleo lipya au kuiuza kwa bei ndogo ili kufidia gharama.
simu au kifaa kinachokuja na manufacturer defect na kurudishwa kiwandani hicho sio refurbished kwani aidha wanaweza kutumia parts zake kwaajili ya simu/kitu nyingine au wanaweza kuirudisha kwenye mchakato mzima wa reproduction kama simu singine mpya , au wanaweza kuiteketeza (Destroy) kulinda brand yao.
'Refurbished phones': what does it mean? The term 'refurbished phone' generally refers to a pre-owned handset that has been sent back due to a fault and has been repaired for re-sale. ... Before being put on sale, all refurbished phones have been thoroughly checked and tested to ensure they're in full working order.
Nakubaliana na wewe 99.9998%