Simu ambazo ni refurbished


Nakubaliana na wewe 99.9998%
 
daaah,hii kitu nimeiona arusha maduka ya benson,kitu ni kile kile lakin ukienda kwa benson bei wameidouble kama mara nne na zaidi...
hao ndio wale ukiirudisha simu ina corona,anaichukua anairudisha ktk box anakupa nyingine.hamns story za iache hapa choo uchukue kkutwa.
 
Na je iPhone na Samsung huwa kuna matoleo yao ambayo huwa yanatolewa copy
Copy kamwe haitafanana na original ndomana ikaitwa copy kama hujui original ikoje bac ni rahisi kupata copy ila kwa uhakika nunua sehemu za kuaminika mtu awezi kuwa na mzigo wa million 50 alafu akajiaribia uaminifu wa kuuza copy

Samsung galaxy note 3 snapdragon
 
Noo need ya kunilipa man. Nenda Maduka mahsusi (Stores) huko utapata bidhaa husika

Au mnasemaje mods wa JF
Yaah kuna maduka makubwa wanaweka mzigo wa pesa ndefu na utapata warranty ya mwaka mzima sio rahisi kukuuzia kifaa kisichofaa uaminifu ndo jambo muhimu kwao. Hivyo u shauri wako ni mzuri sana

Samsung galaxy note 3 snapdragon
 
Kweli kabisa, mfano zile I phones za Makumbusho na Kariakoo. Mimi nikitaka simu kwa siku hizi hiwa naenda kununua kwa Certified Supplier either wa Samsung au Apple Store
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…