Simtaki ila namtaka


Sasa wewe unatumia moyo gani kusukuma damu kama wako unaishi kwa mwingine?
 
Mie napenda ninapopendwa tu, nisipopendwa nami naigiza vilevile.

Hahaha,nljifunza upendo na principle zake through bible kwamba love is patience,is kind,conquers all,love never end matokeo yake full uvictim,I wish ningejua love is a game mapema sana
 
Sasa wewe unatumia moyo gani kusukuma damu kama wako unaishi kwa mwingine?

Unaishi ndani yake kwa Upendo na Uthamini wake kwEnye hisia Zake, Lakini kwenye Kusukuma damu unanisaidia mwenyewe
 
Hahaha,nljifunza upendo na principle zake through bible kwamba love is patience,is kind,conquers all,love never end matokeo yake full uvictim,I wish ningejua love is a game mapema sana

Mamiii inakuwa hivyo kama umempata mtu sahihi anayekupenda pia hivyo hivyo au zaidi, na ni raha asikuambie mtu, yaani utaiona dunia yote yako, ila ukimpata popoma ndio utalia na kusaga meno.
 
Mamiii inakuwa hivyo kama umempata mtu sahihi anayekupenda pia hivyo hivyo au zaidi, na ni raha asikuambie mtu, yaani utaiona dunia yote yako, ila ukimpata popoma ndio utalia na kusaga meno.

kanuni moja wapo ya mapenzi ni kumpenda akupendae, anayekujali na kukuthamini, anayeumizwa na kuguswa na tatizo lako, anayrjitolea kuirejesha furaha yako pale inapotokea umeumizwa
 
nadhani haikuwa hivyo ndio maana leo hayuko nami.. Lakini amecheza sehemu kubwa sana katika maisha yangu

Poyeeeee!! Usijali atakuja atakayeifuta hiyo taswira yake yoooote.
 

Mambo menginee hata sina haja ya kuomba ushauri kama ni mimi... dunia yangu na chaguo ni langu kuamua nataka niniii na niweje/nifanyeje nafsi yangu iburudikeee
 
QUEENBM Tatizo jamaa anajua huwa anakufikisha kule amabapo hakuna mwingine amewahi kukufikisha huko. Dawa ni kumpata mwingine atakae kufikisha huko. Mtihani ni utampataje? Maana kama jamaa level yake ni juu sana itabidi ujaribu watu tofauti tofauti na hapo ndio utaharibikiwa kabisaaa.

Usahuri: ngoja ukomae kwanza usikimbilie hii michezo ya kikubwa utaumia!
 
Last edited by a moderator:
Inaonekana una mahaba sana wewe. Huyo kumuacha itakuwa ngumu kwa sababu ashajua udhaifu wako na wewe, ana vitu ambavyo vinakuvutia kwake ndiyo maana. Cha kufanya tafuta mwingine labda itakusaidia kumtoa moyoni kabisa.
 

How do you know kwamba alimpenda co of sex?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…