Utakuwa uko kwenye 20's tena mwanzoni kabisa na ndio maana unajichanganya namna hii....
Mara nyingi nyie mnaoomba ushauri huwa mnakuwa mmeshaamua la kufanya na hapa mnakuja kucomfirm tu ili watu wawasaport....
Mtu hataki mahusiano na wewe unang'ang'ania nini?
Kaazi kweli kweli....
daah ndio hivyo mzee tunakazi kubwa mno kuwasaidia vijana hawa wa early 20
Akipiga simu huwa anakushikia kpokeleo, au akituma sms anakushika mkono ujibu?
Lowasa anatosha kuleta mabadiriko. Mpe kura yako!!
Akipiga simu huwa anakushikia kpokeleo, au akituma sms anakushika mkono ujibu?
Lowasa anatosha kuleta mabadiriko. Mpe kura yako!!
Utakuwa uko kwenye 20's tena mwanzoni kabisa na ndio maana unajichanganya namna hii....
Mara nyingi nyie mnaoomba ushauri huwa mnakuwa mmeshaamua la kufanya na hapa mnakuja kucomfirm tu ili watu wawasaport....
Mtu hataki mahusiano na wewe unang'ang'ania nini?
Kaazi kweli kweli....
Hahahahah! Una maamuzi mazuri, don't ever let someone to disrupt your soul kwa kukuweka 2 option. Njia nzuri ni kama kweli haumtaki kbsaaaaa, delete his phone number completely and have your new phone number. Mapenzi ni bond ambayo huwezi ku delete abruptly, njia ingine ni ku-mblock completely. Lastly, hata kama ukiwa na number mpya then akaipata ni ku-mblock na akikupigia tuu u ask him who are you? Don't b weak to such an extent.
Akipiga simu huwa anakushikia kpokeleo, au akituma sms anakushika mkono ujibu?
Lowasa anatosha kuleta mabadiriko. Mpe kura yako!!
Cha msingi ni wewe kujiamini na kusimamia kile unachokiamini...kama wewe hauna shida nae, ila unampenda basi kubalian na hali halisi kwamba unampenda ila sio rizik yako so you have to move on......
Tambua pia urafiki wa karibu na ex unaempenda ni rahis mno kurudiana nae, na unaeza rudiana nae then akarudia tabia yake ya awali so be aware usikubali mazoea wala urafik usiokuwa na maana nae...
Unashindwa kumove on coz bado umemuweka karibu huyo jamaa..Cha msingi ni kukata mawasiliano kabisa..Zen hilo la kuhusu kumsahau usijali...Niko tayari kukusaidia...Nimeshaku-PM namba yangu
Aiseee kumbe atoto njoo harakaa
Kitu gani kinakuwaje??Hivi mimi huwa sipendi au?? Hii kitu inakuwaje, mbona kama sielewi elewi!!!
Hivi mimi huwa sipendi au?? Hii kitu inakuwaje, mbona kama sielewi elewi!!!