Habari zenu wana jamii
Nimekuwa na kijana mmoja tumekuwa na mauhusiano kwa mwaka mmoja ila tukaachana kutokana na mwenzangu kuonekana anampenda ex wake zaid yangu.Wakati tupo katika mahusiano nkagundua bado anachat na ex wake na ex akimstress hasira zote ni kwangu.Kiukweli iliniuma sana na ilibid tuachane tu niokoe nafsi yangu.kuachana kuliniuma sana maana nilimpenda sana.kwakweli maisha nliona machungu.nilikonda sana stress sana hata kazi nikaacha.
Kinachoniumiza ni huyu mwanaume kutwa haachi kunitafuta nikitulia ananifata na kuappologise.Mm nimemsamehe japo bado kiukweli nina uchungu sana kwa magumu aliyonifanyia na kuniona sina maana.but shida yangu ni kuwa sitaki mawasiliano nae wala ukaribu nae maana nkiwasiliana nae najiskia kumpenda tu na ninatamani kurudiana nae ila yy hayupo tayar kurudiana nami anataka urafiki wa kawaida na mm siwezi.je wanadau nakosea kutaka kukata mawasiliano nae??
Saiz anakuja niwe karibu nae tena coz nimesikia mambo sio mazuri kwake na huyo mpnz wake.kiukweli icho kitendo mi kinantia hasira sana na kufanya nizidi kumchukia maana naona anaiona kama second option..nimfanye nn anitoke for good??staki mawasiliano nae wala ukaribu nae ili ni move on.
Nimekuwa na kijana mmoja tumekuwa na mauhusiano kwa mwaka mmoja ila tukaachana kutokana na mwenzangu kuonekana anampenda ex wake zaid yangu.Wakati tupo katika mahusiano nkagundua bado anachat na ex wake na ex akimstress hasira zote ni kwangu.Kiukweli iliniuma sana na ilibid tuachane tu niokoe nafsi yangu.kuachana kuliniuma sana maana nilimpenda sana.kwakweli maisha nliona machungu.nilikonda sana stress sana hata kazi nikaacha.
Kinachoniumiza ni huyu mwanaume kutwa haachi kunitafuta nikitulia ananifata na kuappologise.Mm nimemsamehe japo bado kiukweli nina uchungu sana kwa magumu aliyonifanyia na kuniona sina maana.but shida yangu ni kuwa sitaki mawasiliano nae wala ukaribu nae maana nkiwasiliana nae najiskia kumpenda tu na ninatamani kurudiana nae ila yy hayupo tayar kurudiana nami anataka urafiki wa kawaida na mm siwezi.je wanadau nakosea kutaka kukata mawasiliano nae??
Saiz anakuja niwe karibu nae tena coz nimesikia mambo sio mazuri kwake na huyo mpnz wake.kiukweli icho kitendo mi kinantia hasira sana na kufanya nizidi kumchukia maana naona anaiona kama second option..nimfanye nn anitoke for good??staki mawasiliano nae wala ukaribu nae ili ni move on.