Baada ya kumsikiliza Simon Kisena akipangua maswali huku na kule kama kipa wa Bacelona na kujiridhisha kuwa hatumii masaburi kufikiri na yuko fiti kumkichwa napendekeza jiji la dar libinafsishwe Simon akabidhiwe hisa asilimia 51 na manispaa 3 zibaki na asilimia 49.Sawa najuwa mtasema kuna sehemu kadhaa kijana kacheza faulo lakini nimempa kadi ya njano baada ya kugundua katukusanyia milioni 850 UDA toka Juni hazijaguswa ziko benki.
Akifanikiwa kulinyoosha Jiji hili linaloendeshwa ki-saigon saigon mwaka 2015 tumkabidhi na Ikulu kabisaa.
Akifanikiwa kulinyoosha Jiji hili linaloendeshwa ki-saigon saigon mwaka 2015 tumkabidhi na Ikulu kabisaa.