kaputula
Senior Member
- Mar 29, 2012
- 173
- 223
Kwa wale wakongwe tulisoma shule ya msingi vile vitabu vya Someni kwa Furaha tunakumbuka. Kuna ile hadithi mtoto anamwambia mwenzake simile motokaa yangu.
Anamtahadharisha asimuharibie kigari chake cha kuchezea.
Nalinganisha hiyo na namna Samia anakuja kuiondoa CCM kwenye madaraka. Wale wenye kufuatilia na kuelewa watakumbuka jinsi Samia alivyojinasibu kama mwanademokrasia wa kweli na kwamba akishindwa uchaguzi atakua tayari kuachia madaraka.
Alivyoingia tu akawaandama vijana wanamapinduzi kama Sabaya na kuunganika na fisadi waliyokua na visasi na kina Sabaya. Akapendwa na wapinga maendeleo na maajenti wa ubeberu kama kina Tony Blair wakapiga hodi ikulu bila shaka kumuonya aachane na umagufuli.
Inaelekea anataka kutimiza ahadi yake ya kuiondoa CCM madarakani kwa kuifanya ichukiwe. Nguvu ya ccm ni kukubalika na umma. Sera zake za kuweka mbele maslahi ya umma na kujali usawa kijamii na kiuchumi kitaifa na demokrasia ndani ya chama ndio nguvu yake.
Inaelekea Samia ndiye atakayeitenganisha CCM na umma wa wananchi. Jinsi anatumia ubabe hadi kujiweka mgombea urais wakati siye wanaccm wanamtaka ndio italeta mgawanyiko na kukiondoa chama madarakani. Samia hakua makamu wa rais ili awe mgombea urais. Alikua rais kutokana na katiba ya jamhuri.
Wanaccm wanataka haki yao kumchagua mgombea urais maana wanataka mtu mwenye sifa kuongoza nchi kufuatana na itikadi ya ccm. Wanaccm na wananchi kwa wingi wana hasira. Samia tuliona akiwarudisha wapinga maendeleo walio msengenya magufuli kwa dharau kwa kua anaipenda Tanzania na watanzania kuliko nafsi yake na wakamwita mshamba.
Chondechonde Samia.
Simile motokari yangu.
Anamtahadharisha asimuharibie kigari chake cha kuchezea.
Nalinganisha hiyo na namna Samia anakuja kuiondoa CCM kwenye madaraka. Wale wenye kufuatilia na kuelewa watakumbuka jinsi Samia alivyojinasibu kama mwanademokrasia wa kweli na kwamba akishindwa uchaguzi atakua tayari kuachia madaraka.
Alivyoingia tu akawaandama vijana wanamapinduzi kama Sabaya na kuunganika na fisadi waliyokua na visasi na kina Sabaya. Akapendwa na wapinga maendeleo na maajenti wa ubeberu kama kina Tony Blair wakapiga hodi ikulu bila shaka kumuonya aachane na umagufuli.
Inaelekea anataka kutimiza ahadi yake ya kuiondoa CCM madarakani kwa kuifanya ichukiwe. Nguvu ya ccm ni kukubalika na umma. Sera zake za kuweka mbele maslahi ya umma na kujali usawa kijamii na kiuchumi kitaifa na demokrasia ndani ya chama ndio nguvu yake.
Inaelekea Samia ndiye atakayeitenganisha CCM na umma wa wananchi. Jinsi anatumia ubabe hadi kujiweka mgombea urais wakati siye wanaccm wanamtaka ndio italeta mgawanyiko na kukiondoa chama madarakani. Samia hakua makamu wa rais ili awe mgombea urais. Alikua rais kutokana na katiba ya jamhuri.
Wanaccm wanataka haki yao kumchagua mgombea urais maana wanataka mtu mwenye sifa kuongoza nchi kufuatana na itikadi ya ccm. Wanaccm na wananchi kwa wingi wana hasira. Samia tuliona akiwarudisha wapinga maendeleo walio msengenya magufuli kwa dharau kwa kua anaipenda Tanzania na watanzania kuliko nafsi yake na wakamwita mshamba.
Chondechonde Samia.
Simile motokari yangu.