Simeoni na Lawi: Undugu ulio tukuka

Simeoni na Lawi: Undugu ulio tukuka

mkuu unachanganya vitabu bro..Biblia haijasema hivyo...nipe mistari

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo 34:25-26
[25]Ikawa siku ya tatu, walipokuwa wakiumwa sana, wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi, nduguze Dina, wakatwaa kila mtu upanga wake, wakaujia mji kwa ujasiri, wakawaua waume wote.
[26]Wakawaua Hamori, na Shekemu mwanawe, kwa makali ya upanga, wakamtwaa Dina katika nyumba ya Shekemu, wakatoka.

NADHANI UTAMWELEWA VIZURI ZAIDI MTOA MADA.

Sent using LEAGOO M12
 
mkuu mi sina shida na hapo shida ni hapo Hamori alipanga wapi kuwavamia wana wa israel
Mwanzo 34:25-26
[25]Ikawa siku ya tatu, walipokuwa wakiumwa sana, wana wawili wa Yakobo, Simeoni na Lawi, nduguze Dina, wakatwaa kila mtu upanga wake, wakaujia mji kwa ujasiri, wakawaua waume wote.
[26]Wakawaua Hamori, na Shekemu mwanawe, kwa makali ya upanga, wakamtwaa Dina katika nyumba ya Shekemu, wakatoka.

NADHANI UTAMWELEWA VIZURI ZAIDI MTOA MADA.

Sent using LEAGOO M12

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom