Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 431
- 433
Soma Pia: Simbu kupeperesha bendera ya Tanzania Boston Marathon, Marekani
Muwe mnaacha uchawa.uchawa ukizidi unakuwa ni ukosefu wa akiliKwa mara nyingine kijana Alphonce Felix Simbu kaipeperusha vyema bendera ya Tanzania kwenye Boston Marathon kwa kuibuka mshindi wa pili kwa kutumia muda wa masaa 02:05:04
Hatuwezi kufurahia ushindi huu wa Alphonce bila kumpongeza Rais Mama Samia kwa hamasa anayotoa kwenye michezo. Mungu mbariki Alphonce. Mungu mbariki Mama Samia.
Top ten ya wanaume.
1. John Korir (Kenya) 02:04:45
2. Felix Alphonce Simbu (Tanzania) 02:05:04
3. Cybrian Kotut (Kenya) 02:05:04
4. Conner Mantz (United States) 02:05:08
5. Edris Muktar (Ethiopia) 02:05:59
Wamewekeza mno kwenye riadha. Huko Iten, Eldoret kuna kambi za kimataifa za wanariadha. Ni biashara kubwa mno inafanyika. Kimsingi wakenya walishaamua riadha ni biashara yao muhimu. Tanzania pia kuna vipaji vya hatari ila uwekezaji ni mdogo. Kina Simbu wanajigharamia pesa nyingi pamoja na sponsors ndo maana wako fit. Michezo na njaa hazikai pamoja kabisa. Simbu na wakali wengine wana nidhamu ya hali ya juu kwenye riadha ila hela ikisaidia pakubwa.Najiuliza, hawa Wakenya wana nini cha zaidi?
Kamshauri mamako.Muwe mnaacha uchawa.uchawa ukizidi unakuwa ni ukosefu wa akili
AsanteKamshauri mamako.
Hawa jamaa ni kabila la KALENJIN wanatokea rift valley, wakina KIPCHOGE,KIPRUTO,KIPTOO,JEPKOSGEI,KIPTUM,JEPCHIRCHIR ukiona mjaluo au mkikuyu anakimbia uyo kavamia fani......ETHIOPIA utakuta kabila la OROMO hawa ata enzi za shule mtu hana zoezi na anapepea kama mshale...TANZANIA utawakuta SINGIDA wanyaturu wana miguu kama penseli, vijiji kama MAKIUNGU,NTEWA,MAMPANDO,IKENGA kule kuna bonde la ufa, na wengine wapo MANYARA wambulu flani, bongo ukikuta mwanariadha mchaga huyo kavamia fani..Najiuliza, hawa Wakenya wana nini cha zaidi?
Lakini mbio fupi kuna wazenji wanafanya vizuri. Na watu wa Mara pia wako poa mbio fupi zisizozidi 1500mHawa jamaa ni kabila la KALENJIN wanatokea rift valley, wakina KIPCHOGE,KIPRUTO,KIPTOO,JEPKOSGEI,KIPTUM,JEPCHIRCHIR ukiona mjaluo au mkikuyu anakimbia uyo kavamia fani......ETHIOPIA utakuta kabila la OROMO hawa ata enzi za shule mtu hana zoezi na anapepea kama mshale...TANZANIA utawakuta SINGIDA wanyaturu wana miguu kama penseli, vijiji kama MAKIUNGU,NTEWA,MAMPANDO,IKENGA kule kuna bonde la ufa, na wengine wapo MANYARA wambulu flani, bongo ukikuta mwanariadha mchaga huyo kavamia fani..
Aisee wewe ni mwehu mnoKwa mara nyingine kijana Alphonce Felix Simbu kaipeperusha vyema bendera ya Tanzania kwenye Boston Marathon kwa kuibuka mshindi wa pili kwa kutumia muda wa masaa 02:05:04
Hatuwezi kufurahia ushindi huu wa Alphonce bila kumpongeza Rais Mama Samia kwa hamasa anayotoa kwenye michezo. Mungu mbariki Alphonce. Mungu mbariki Mama Samia.
Top ten ya wanaume.
1. John Korir (Kenya) 02:04:45
2. Felix Alphonce Simbu (Tanzania) 02:05:04
3. Cybrian Kotut (Kenya) 02:05:04
4. Conner Mantz (United States) 02:05:08
5. Edris Muktar (Ethiopia) 02:05:59