Nilimsikiliza Jana Simbeye ,alikuwa anaongea kwa Uchungu sana,column haikutimia pia wajumbe wengi walikuwa wa mchongo ,wengine sio wanachama kabisa wa NCCR lakini walikuwepo kwenye mkutano na wakafanya maamuzi.
Kesi ipo mahakamani lakini Ofisi ya msajili ikabariki mkutano feki wa NCCR na kuwaondoa kina mbatia.