Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,017
- 9,885
Klabu ya Simba imesema kauli ya kubagua mshabiki katika mechi kati ya Simba na Plateau United haikutolewa kwa maelekezo ya Klabu ya Simba
Desemba 2, Msema wa Klabu ya Simba, Haji Mnara alitoa kauli ya kutowahitaji washabiki wa Klabu ya Yangu kwenda kushabikia mechi yao
Klabu ya Simba imesema haitawazuia watanzania watakaokwenda uwanjani kuwashabikia timu ya kutoka nchi ya kigeni, na wamewahakikishia kuwa hawatabugudhiwa
Desemba 2, Msema wa Klabu ya Simba, Haji Mnara alitoa kauli ya kutowahitaji washabiki wa Klabu ya Yangu kwenda kushabikia mechi yao
Klabu ya Simba imesema haitawazuia watanzania watakaokwenda uwanjani kuwashabikia timu ya kutoka nchi ya kigeni, na wamewahakikishia kuwa hawatabugudhiwa