Hawa pia waliwahi kwenda Simba: 1. Edibliy Lunyamila, 2. Saidi Mwamba (Kizota), 3. Mohamed Hussein (Mmachinga), 4. Thomas Kipese (Uncle Tom), 5. Mike Barasa, 6. Ephraim Makoye (Wa jina), 7. Amri Kiemba, 8. Mrisho Ngassa, 9. Kigi Makasi, 10. Yusuph Macho (Muso), just a few to mention, wengine ongezeeni wakuu maana orodha ni ndefu, sasa jeuri ya Simba kuicheka Yanga iko wapi?