Simba Yapendezesha Yanga

nenda Tawi la Mpira Pesa uoneshwe kadi yake
Yondani walikuwa wakimtambua kama mpenzi wa Yanga siku zote pale Msongamanoni, kila Simba ikifungwa na Yanga, Yondani alikuwa akibebeshwa lawama za kucheza kinazi, sasa karejea home tatizo liko wapi?
 
ongelea kuhusu tija na ufanisi
 
Bwana haya mashabiki ya simba hayawezi kukuelewa wamekalia ubishi tu wa kwenye kahawa
 

11. Amir Maftah
 
Amri Kiemba (SPUTANZA) Frm Yanga; Kelvin Yondani (TFF) Frm Simba. Mlinganyo uko sawa kwa sawa.

:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:Wewe lazima utakua Yanga Academia..........sio wale wa Mwembe Yanga/Bomba
 
Hawa ni kwa mwaka huu tu na huenda kwa msimu wa 2013/4

  1. Mrisho Ngassa
  2. Obina
  3. Shaban Kondo
  4. Dida.........mzizi wa SSC
  5. Wakimkosakosa Kiemba
  6. Walimkosakosa Kaseja
  7. ................................ATAKUWEPO TU

acha Unazi wewe...! OBINA,KONDO hao ni FreeAgent Na NGASSA hajatoka Simba
Dida Na FreeAgent alikua Azam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…