Simba yaondoka Ismailia, kuweka kambi Cairo, Misri

Simba yaondoka Ismailia, kuweka kambi Cairo, Misri

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Kikosi cha Simba mapema leo Ijumaa (Agosti 15), kimeondoka jijini Ismailia kwenda jijini Cairo, Misri kuendelea na kambi ya maandalizi ya msimu mpya 2025/26.

Kikosi cha Simba kitaweka kambi jijini humo hadi kitakapokamilisha program ya kocha Fadlu, na kisha kitarejea Tanzania mapema mwezi Septemba kwa ajili ya Simba Day

 
Kikosi cha Simba mapema leo Ijumaa (Agosti 15), kimeondoka jijini Ismailia kwenda jijini Cairo, Misri kuendelea na kambi ya maandalizi ya msimu mpya 2025/26.

Kikosi cha Simba kitaweka kambi jijini humo hadi kitakapokamilisha program ya kocha Fadlu, na kisha kitarejea Tanzania mapema mwezi Septemba kwa ajili ya Simba Day

Sidhani kama tunahitaji kujua mbwembwe za Kambi hizo tulishakaa sana na wahuni fulani wakaweka yao Avic Town na bado tukala Kono la NYANI, vijana wawe serious tu na kazi pia uongozi usajili vizuri kuwa na Namba Ten kama Ahoua ni Mkosi anatakiwa mbadala wake.
 
Sidhani kama tunahitaji kujua mbwembwe za Kambi hizo tulishakaa sana na wahuni fulani wakaweka yao Avic Town na bado tukala Kono la NYANI, vijana wawe serious tu na kazi pia uongozi usajili vizuri kuwa na Namba Ten kama Ahoua ni Mkosi anatakiwa mbadala wake.
Hahaa dah hii comment yako mkuu
 
Bila shaka msimu ujao hakutakuwa tena na visingizio.
 
Back
Top Bottom