brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,393
Mabingwa wa Tanzania Simba inaandaa barua ya kudai fidia ya Sh. bilioni 1.5 toka timu ya Azam kutokana na kitendo cha club hiyo kuwashitaki wachezaji 4( agrei morris, erasto nyoni, said morad na deo munishi) kwa madai walipokea rushwa ya sh. Milioni 7 kucheza chini ya kiwango mechi dhidi ya Simba. Hii inatokana na TAKUKURU kusema wachezaji hao hawana hatia.
Mwenyekiti wa Simba Aden Rage amesema tayari klabu imewasiliana na mwanasheria wake ili kuandaa madai kisheria.
Rage anaendelea kusema ni jambo la kuidhalilisha Simba na wana msimbazi wote hatuwezi kuliacha hivihivi.
Source: nipashe
Mwenyekiti wa Simba Aden Rage amesema tayari klabu imewasiliana na mwanasheria wake ili kuandaa madai kisheria.
Rage anaendelea kusema ni jambo la kuidhalilisha Simba na wana msimbazi wote hatuwezi kuliacha hivihivi.
Source: nipashe