Hivi Kihasibu Simba inapata kweli faida kwa kusajili kundi kubwa la wachezaji wa kigeni kwa mkataba wa miaka miwili+ halafu baada ya nusu msimu, au msimu mmoja kuachana nao!!
Sikatai timu nyingine pia ikiwemo Yanga nazo zina huu mchezo! Ila kwa upande wa Simba naona idadi ni kubwa zaidi!! Mwasibu OKW BOBAN SUNZU, msaada wako please.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.