aljun raj
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 203
- 46
Tukiongelea upinzani kwa sasa upo kwa AZAM na MTIBWA YANGA MBEYA CITY lakin si team kama SIMBA ambayo bado inasuasua kila mechi inatoa droo
mechi tano bila kujua tatizo nn huku viongozi wakitupiana lawama
tulikuwa tunamtaka Okwi tumepata kocha mzoefu na mashindano PHIRI tuanae aaaah amakweli simba uyu hang'ati hata umchezee sharubu zake
mechi tano bila kujua tatizo nn huku viongozi wakitupiana lawama
tulikuwa tunamtaka Okwi tumepata kocha mzoefu na mashindano PHIRI tuanae aaaah amakweli simba uyu hang'ati hata umchezee sharubu zake