Simba ya leo

Simba ya leo

aljun raj

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
203
Reaction score
46
Tukiongelea upinzani kwa sasa upo kwa AZAM na MTIBWA YANGA MBEYA CITY lakin si team kama SIMBA ambayo bado inasuasua kila mechi inatoa droo

mechi tano bila kujua tatizo nn huku viongozi wakitupiana lawama
tulikuwa tunamtaka Okwi tumepata kocha mzoefu na mashindano PHIRI tuanae aaaah amakweli simba uyu hang'ati hata umchezee sharubu zake
 
Huna lolote we mnafiki tu tuachie simba yetu..
 
Hao Yanga, Azam, Mtibwa na Mbeya City wameichapa Simba goli ngapi? Timu zako hizo zote kasoro Mtibwa tu, zimeshafungwa mechi moja au mbili, lakini Simba haijapoteza mechi hadi sasa! Kwa wanaojua soka wanaelewa maana ya derby, ila kwa watu kama wewe mnaangalia matokeo! Derby huwa haifi hivi hivi, labda timu moja iwe haipo katika daraja husika kabisa!
 
Hao Yanga, Azam, Mtibwa na Mbeya City wameichapa Simba goli ngapi? Timu zako hizo zote kasoro Mtibwa tu, zimeshafungwa mechi moja au mbili, lakini Simba haijapoteza mechi hadi sasa! Kwa wanaojua soka wanaelewa maana ya derby, ila kwa watu kama wewe mnaangalia matokeo! Derby huwa haifi hivi hivi, labda timu moja iwe haipo katika daraja husika kabisa!

Ubora wa timu haupimwi kwa mechi ngapi haijafungwa bali ni mechi ngapi imeshinda ndio maana Simba haijafungwa lakini iko nafasi ya chini kabisa katika msimamo wa ligi. Kwa kifupi iko nafasi ya 10 kati ya timu 14.
 
Ubora wa timu haupimwi kwa mechi ngapi haijafungwa bali ni mechi ngapi imeshinda ndio maana Simba haijafungwa lakini iko nafasi ya chini kabisha katika msimamo wa ligi. Kwa kifupi iko nafasi ya 10 kati ya timu 14.
hehe! Makoye maatale unadhania mambumbumbu watakuelewa basi hata kama utawaambia ukweli huku ukilia machozi ya damu bado watakuona haifai wanapenda uwasifie hata kwenye hamna..ubora wa timu yao wanaupima kwa kucheza na YANGA ndo maana wakakimbilia sauz kuiwekea kambi na wakaishangilia sana ile sare as if walishinda game... WebRep


currentVote


noRating
noWeight
 
Na bado......hapo mtakapofikisha pointi 26 kwa kucheza mechi zote 26 za ligi, ndipo muendelee kujifariji hivyo hivyo kwa kusema "SIMBA HAIJAFUGWA"!!
 
Na bado......hapo mtakapofikisha pointi 26 kwa kucheza mechi zote 26 za ligi, ndipo muendelee kujifariji hivyo hivyo kwa kusema "SIMBA HAIJAFUGWA"!!
cjaona acha kuongea ukweli unawaumiza mikia..wenzio wanasubiri waanze ligi sijui lini hiyo ama raundi ya ngapi wanajua wenyewe WebRep


currentVote


noRating
noWeight
 
furaha ya simba ni kumfunga yanga tu ubingwa anawaachia wengine
 
Viongozi wa simba walifanya ujinga sana kwa kumsajili okwi na kumtema musoti wakidhani kuwa timu imara inajengwa na foward wazuri pekee wakasahau kuwa timu bora hujengwa na sehemu tatu yaani beki, kiungo na foward...na miongoni mwa watu ambao hanafanya usajili wa kijinga pale simba ni pamoja na hans poppe,,,,acha tu watengeneze hayo madroo mpaka wakome mwaka huu..
 
mbona nyange kaburu siku hizi simsikii?
kutoa habari za simba spot club
 
cjaona acha kuongea ukweli unawaumiza mikia..wenzio wanasubiri waanze ligi sijui lini hiyo ama raundi ya ngapi wanajua wenyewe WebRep


currentVote


noRating
noWeight

Ligi walianza kwa Yanga wakamkalisha 0-0, wakaenda Mbeya Prisons naye wakamkalisha kwa 1-1 hivi sasa wanaelekea Morogoro kumkalisha Mtibwa Sugar, sijui huko itakuwaje, nikifikiria sipati picha.
 
Sidhani kama analysis yako inajitosheleza
viongozi wa simba walifanya ujinga sana kwa kumsajili okwi na kumtema musoti wakidhani kuwa timu imara inajengwa na foward wazuri pekee wakasahau kuwa timu bora hujengwa na sehemu tatu yaani beki, kiungo na foward...na miongoni mwa watu ambao hanafanya usajili wa kijinga pale simba ni pamoja na hans poppe,,,,acha tu watengeneze hayo madroo mpaka wakome mwaka huu..
 
Ukweli ni kwamba gap sio kubwa sana ndio maana Yanga kashinda mechi moja tu kapanda juu sana, wasiwasi wangu ni kwamba Simba inapoelekea ni pabaya zaidi kwa sababu wameshaanza kuangushia watu jumba bovu kwa maamuzi ya hasira na si busara, mchezaji kucheza hovyo kwa mechi moja ni jambo la kawaida sana hasa inapokuwa kwa mkongwe kama Kiemba ambaye hajapumzishwa iwe ni kwa klabu au timu ya Taifa hata hizo shutuma kwamba ile mechi ya starz alicheza vizuri nazo si za kitaalamu kwani timu nzima siku ile ilionekana NZURI kwa kushinda

Hali mbaya sana ni kwamba kuna njama zinapangwa za kumuangusha Aveva ambazo kama zitafanikiwa ni kwamba akina Aveva nao (Friends) watapanga njama za kuwaangusha watakaoshika timu..........(cycling) hatari zaidi hapo ni kwamba wao ndioa wamesajili kwa asilimia kubwa

NAIONA SIMBA IKIJIHATARISHA KUSHUKA DARAJA .............lol

Tulizoea timu zetu kushinda kimchekea sana (kwa kuhonga etc) ukweli ni kwamba kwanza wachezji wa timu hizi hawapishani sana viwango, wengi ni vijana wenye ari ya kucheza, soka la Tanzania limekua na hamasa kubwa (uwanja mzuri na mechi kuoneshwa LIVE) kila mchezji akitaka kung'aaa, hivyo upinzani wanaokabiliana nao Simba ni wa kawaida tu kimchezo sema hatujazoea hali hii...Hat timu yangu Liver huko UK inakamatwa sana na vitimu sasa hivi.

TUkubali ukweli kwamba timu zinasajili VIPAJI na si MAJINA siku hizi (UHAI CUP, COCACOLA etc) the CASE of Mtibwa Sugar etc
 
Ligi walianza kwa Yanga wakamkalisha 0-0, wakaenda Mbeya Prisons naye wakamkalisha kwa 1-1 hivi sasa wanaelekea Morogoro kumkalisha Mtibwa Sugar, sijui huko itakuwaje, nikifikiria sipati picha.

nani hawa............
 
Ubora wa timu haupimwi kwa mechi ngapi haijafungwa bali ni mechi ngapi imeshinda ndio maana Simba haijafungwa lakini iko nafasi ya chini kabisa katika msimamo wa ligi. Kwa kifupi iko nafasi ya 10 kati ya timu 14.

ni katika kujifariji tu mkuu
 
Ni mapito tu haya ..............
cjaona acha kuongea ukweli unawaumiza mikia..wenzio wanasubiri waanze ligi sijui lini hiyo ama raundi ya ngapi wanajua wenyewe webrep


currentvote


norating
noweight
 
Back
Top Bottom