Simba waende Cas kupinga UWANJA ....

UKIKATA TKT nunua na ya KURUDIA

Utalalaa bandarini mpendwa halisio
 
Simba, Simba, hivi Simba ni club ya mpira au chama cha siasa?
 
uliambiwa simba kafungua cse ewe manautoplo
 
Uto hii ndo Wiki yenu pekee ya kufurahi na ku post post ujinga , baada ya mechi na Berkane itakuwa baaas kuonana mwakani
 
Al Hilali wamechezea gemu zao Nje ya Nchi watashangaa Simba kupiga kelele na mechi yao inachezwa Tanzania mpaka hapo wameshajifunga wenyewe kwa sababu za hovyo tokea mwanzo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…