Las Mas Bobos
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 991
- 326
Kuna hii tabia ya vyombo vya habari vya hapa nyumbani kupenda kuikweza Simba inapokwenda kuiwakilisha Tanzania nje ya nchi. Utasikia watangazaji wanavyoipamba na magazeti yanavyoiandika vizuri na kuibeza Yanga kabla haijaondoka.
Waandishi hawa wa kichaga wasiojua michezo sijui huwa wana rekodi gani ya Simba yenye kuonesha mafanikio nje ya Tanzania. "..simba ambayo imekuwa na rekodi nzuri katika kuiwakilisha Tanzania nje ya nchi inatarajiwa kuondoka kesho kwenda kukipiga na Haras Al Hadood ya Misri....."
Wakiwa ni Yanga ndio wanatoka, utaona wakianza kuzungumzwa vibaya hata kabla ya mechi yenyewe. Sasa mimi nauliza swali: KATI YA SIMBA NA YANGA, TIMU IPI IMEWAHI KUBEBA UBINGWA NJE YA NCHI NA KUULETA NYUMBANI?
Hapa sizungumzii kombe la Maulid linalochezwagwa Zanzibar, manake wengi wenu mnadhani Zanzibar ni nje ya nchi. Kwanza Yanga hawanaga interest na kakikombe ambako mshindi anapata laki 8 ilhali gharama za kuipeleka timu Zanzibar ni 8m.
Naomba majibu kutoka kwa waandishi uchwara na wapenzi wa hii timu ya kina 'Jumaa' (wafanyakazi wa ndani wa wahindi) yenye maskani sokoni bila uwanja hata wa kupigia dana dana.
Waandishi hawa wa kichaga wasiojua michezo sijui huwa wana rekodi gani ya Simba yenye kuonesha mafanikio nje ya Tanzania. "..simba ambayo imekuwa na rekodi nzuri katika kuiwakilisha Tanzania nje ya nchi inatarajiwa kuondoka kesho kwenda kukipiga na Haras Al Hadood ya Misri....."
Wakiwa ni Yanga ndio wanatoka, utaona wakianza kuzungumzwa vibaya hata kabla ya mechi yenyewe. Sasa mimi nauliza swali: KATI YA SIMBA NA YANGA, TIMU IPI IMEWAHI KUBEBA UBINGWA NJE YA NCHI NA KUULETA NYUMBANI?
Hapa sizungumzii kombe la Maulid linalochezwagwa Zanzibar, manake wengi wenu mnadhani Zanzibar ni nje ya nchi. Kwanza Yanga hawanaga interest na kakikombe ambako mshindi anapata laki 8 ilhali gharama za kuipeleka timu Zanzibar ni 8m.
Naomba majibu kutoka kwa waandishi uchwara na wapenzi wa hii timu ya kina 'Jumaa' (wafanyakazi wa ndani wa wahindi) yenye maskani sokoni bila uwanja hata wa kupigia dana dana.