Hata mimi nilikuwepo uwanjani jana kushuhudia live simba na azam,nimejuta kupoteza pesa yangu kuingia uwanjani,tulitegemea kuona gemu la ushindani lakini kilichotokea ni bora simba angecheza na polisi moro walau tungeona soka safi,kusema ukweli azam waliuza gemu mana walikuwa wanacheza kama hawataki au kama wameshinda wao vile,mashabiki wengi walianza kuondoka uwanjani mapema sababu mpira ulikuwa haufurahishi kiukweli,subiri yanga na azam ndo utawajua azam ni tawi la simba mana wanageuka wanakuwa mbogo,