Simba v/s Azam fc, Yanga v/s Oljoro JKT Live updates

Tumia akili angalauu kidogo hivi kati ya Simba na Azam Fc ipi timu ya kawaida sana kuliko nyenzake mfano Azam FC ilicheza na SIMBA B tukawafunga sasa leo kufungwa na timu ya wakubwa mnalilia lia nini kama yanga tuna wafunga goli tano wana singizia mgogoro sasa subiri mzunguko wa piri timu wepo kamili na msifanye mipango kama mlivyofanya raound ya kwanza muone kama hamtachezea mkono mafala nyie..kazi kuia lia tuo simba ya kawaida yakawada wakati inaongoza lingi na ndiyo bingwa mtetezi huku azam akiwa amekula tatu na yanga 6 -1...
 
Didier Kavumbangu ndio anaongoza kwa magoli pale Yanga akifuatiwa na Twite,kiwango cha Twite kweli Rage alistahili kutoa machozi
Ni mchezaji wa kawaida sana, kama ulibahatika kuona kitu alichofanywa na na mshambuliaji wa kagera kisha akaenda kufunga utakubaliana na mimi kuwa wachezaji wa kigeni tuna wakuza kwenye magazetu lakini ni wakawatu..Mchezaji ni okwi na Niyonzima wa msimu uliopita siyo huyu wa msimu huu..
 

nakuunga mkono,okwi na niyonzima angalau wanaonekana ni wachezaji wa kimataifa,hawa wengine sunzu na huyu twite mm siwaelewi wanachokifanya uwanjani ni misifa tu waongo tumewajaza,
 
Labda Okwi na Niyonzima wa msimu uliopita but kwa msimu huu Twite ni mmoja wa wachezaji waliofanya vizuri.Twite anamudu zaidi nafasi ya beki wa kati kuliko kuliko kulia alikokuwa anachezeshwa mwanzo tangu Yondani ameumia ameonyesha uwezo mkubwa na kikubwa zaidi anafunga magoli
 
Mimi sijasema mpira ni mahesabu nilichosema ni kwamba mpira sio hesabu za kujumlisha na kutoa, acheni kulaumu wachezaji, Azam hawana mfungaji kwa sasa zaidi ya Bocco na Kipre Tchetche na Bocco mwenyewe alikuwa mgonjwa; kumbuka msimu uliopita mlikuwa na Mrisho Ngasa, mmemtoa Ngasa hakuna mbadala wake.
 

na imani hili litawaumiza sana mpka watakapo jua nini maana ya unazi maandazi..
 

Watu kama ni ninyi ndio ambao mtaendelea kudumaza mpira wa nchi kwa kuwa na mawazo yasiyokuwa na tija. Hakuna kuuza wala kununua kwenye mechi hii, na matokeo yalikuwa ni reflection ya hali halisi ya mpira. Azam wakon ktk kipindi cha mpito baada ya kubadilisha kocha wenye falsafa na mifumo tofauti ya ufundishaji. Pia wanakabiliwa na wimbi la majeruhi kwa wachezaji wao tegemeo.

Isitoshe, Simba ktk kiwango chake, ni timu bora na wachezaji wenye uwezo wa hali ya juu, mfano goli la tatu lililofungwa na Okwi ni la kiwango cha juu, na hakuna aliyelitarajia. Kinachoiponza Azam kwa Simba ni kucheza mchezo unaofanana na wa nafasi, kitu ambacho kwa sasa Simba ni wazuri zaidi baada ya Azam kubadilisha kocha.

Ubora Simba unajidhihirisha kwa njia nyingi tu, ikiwemo rekodi ya kutokufungwa hadi sasa, kufunga magoli mengi, n.k.
Ni vizuri pamoja na ushabiki wetu, kidogo tuwe tunaaangalia mpira kwa macho matatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…