Simba v Ruvu Shooting - May 05, 2013

Makoye Matale

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2011
Posts
6,490
Reaction score
2,104
Simba wanakipiga na Ruvu Shooting. Dk. 14 Amri Kiemba kapiga shuti lililotinga wavuni moja kwa moja hivyo Simba 1-0 Ruvu Shooting.
 
Asante mkuu, naomba uzidi kutuletea update, hapa nilipo TBC Taifa imegoma kuplay online kwa hiyo nakutegemea sana.
 
Asante mkuu, naomba uzidi kutuletea update, hapa nilipo TBC Taifa imegoma kuplay online kwa hiyo nakutegemea sana.

Usijali Mkuu, nimesaini auti kwenye ishu ya Arusha naona ban iko nje nje tu, kuna watu wanaposti kichefuchefu.

Bado Simba 1-0 Ruvu Shooting.
 
Usijali Mkuu, nimesaini auti kwenye ishu ya Arusha naona ban iko nje nje tu, kuna watu wanaposti kichefuchefu.

Bado Simba 1-0 Ruvu Shooting.
Mimi nimepita kule nikatoa pole na kuondoka.
 
Simba leo wanashambulia kusaka nafasi ya tatu. Lango la Ruvu Shooting liko matatani hata hivyo matokeo bado 1-0.
 
Hawa Ruvu shooting inabidi tuwape kibano cha kutosha ili turejeshe heshima iliyoanza kupotea.
 
Simba leo wanashambulia kusaka nafasi ya tatu. Lango la Ruvu Shooting liko matatani hata hivyo matokeo bado 1-0.

Unajua nilishasahau kama ligi ya Tz bado inaendelea, kwani nafasi ya tatu ina umuhimu gani kwenye ligi yetu?
 
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…