PLOII
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,098
- 801
Habari Zenu mashabiki bora wa CAF Super League!
Kiukweli tumeingia mkenge Kwa porojo za Utopolo. Simba Kwa Msimu huu tumefanikiwa kufika sehemu ya ndoto yetu wengi hatukuwahi kushuhudia Mnyama akicheza stage hiyo. Haya ni mafanikio makubwa Sana bahati mbaya tumeingia kwenye ujinga wa wauza Madafu Wazee wa kuji- boost wao hata quarter final wanashindwa, kupata ushindi nyumbani na MC Alger usonge wakashindwa lakini makelele Moto.
Wamekuwa wakisema sajili zao ni bora swali wamefika wapi?
Kufunga Simba 5× consecutively ndio mafanikio wao walipopigwa between 2000-2010 walizimia au kufa ?
Simba tuamke tuwe Proud na timu yetu kikubwa tu viongozi watuletee watu hatari.
Pia wasije wakamsajili Sowah alishasema Hersi ni Baba yake hatutaki kupigishwa Shot.
NB: Tunapotoa Thank you Kwa players wetu tusisahau kuwapa Big Thank You baadhi ya wajumbe wa Bodi na benchi la ufundi wakiwemo Matola (kakua atafute timu afundishe kama Ally Katoro katafuta timu Kwa kigezo cha kuwa na uzoefu na huyu Matola Kwa sasa uzoefu wake hatuna shaka nao aende hata Saudia), Try Again nae ni kichomi ajisogeze na mwingine ni boss wetu, mchawi wetu na mlozi wa mafanikio yetu kama Simba a.k.a Mzee wa Kisinia "Mangungu". Mungu ampe nafasi ya kuwa Mbunge ili angalau tupumue. Mzee kazidi kutuchoma miaka 4 tunafungwa chini yako na Utopolo coach akitoa ripoti inafika Utopoloni kama ilivyo. This is big no Mangungu & Try Again must goooo!
Kiukweli tumeingia mkenge Kwa porojo za Utopolo. Simba Kwa Msimu huu tumefanikiwa kufika sehemu ya ndoto yetu wengi hatukuwahi kushuhudia Mnyama akicheza stage hiyo. Haya ni mafanikio makubwa Sana bahati mbaya tumeingia kwenye ujinga wa wauza Madafu Wazee wa kuji- boost wao hata quarter final wanashindwa, kupata ushindi nyumbani na MC Alger usonge wakashindwa lakini makelele Moto.
Wamekuwa wakisema sajili zao ni bora swali wamefika wapi?
Kufunga Simba 5× consecutively ndio mafanikio wao walipopigwa between 2000-2010 walizimia au kufa ?
Simba tuamke tuwe Proud na timu yetu kikubwa tu viongozi watuletee watu hatari.
Pia wasije wakamsajili Sowah alishasema Hersi ni Baba yake hatutaki kupigishwa Shot.
NB: Tunapotoa Thank you Kwa players wetu tusisahau kuwapa Big Thank You baadhi ya wajumbe wa Bodi na benchi la ufundi wakiwemo Matola (kakua atafute timu afundishe kama Ally Katoro katafuta timu Kwa kigezo cha kuwa na uzoefu na huyu Matola Kwa sasa uzoefu wake hatuna shaka nao aende hata Saudia), Try Again nae ni kichomi ajisogeze na mwingine ni boss wetu, mchawi wetu na mlozi wa mafanikio yetu kama Simba a.k.a Mzee wa Kisinia "Mangungu". Mungu ampe nafasi ya kuwa Mbunge ili angalau tupumue. Mzee kazidi kutuchoma miaka 4 tunafungwa chini yako na Utopolo coach akitoa ripoti inafika Utopoloni kama ilivyo. This is big no Mangungu & Try Again must goooo!