PierreLiquid
JF-Expert Member
- Oct 16, 2019
- 596
- 2,281
Hii iwafikie viongozi wote wa club pendwa ya Simba sports club. Hii sio sawa hii sio sawa kabisaa kwa hadhi ya club ya Simba Mimi ni shabiki tena kindaki wa hii timu. Mara ya mwisho mimi nilikodi canter kama hii ikanichukulia vitu vya ndani kutokea g/mboto mpaka mbezi kwa Tsh 80,000/= za kitanzania.
Hili ndio gari wanaloliita la wazi liliwabeba wachezaji wa Simba Leo kutokea airport kuelekea makao makuu ya club msimbazi k.koo
Hili ndio gari wanaloliita la wazi liliwabeba wachezaji wa Simba Leo kutokea airport kuelekea makao makuu ya club msimbazi k.koo