Simba Sc yaburuza mkia kwenye kundi D, michuano ya CAF Champions league

Simba Sc yaburuza mkia kwenye kundi D, michuano ya CAF Champions league

ChekoFagia

Senior Member
Joined
Sep 20, 2025
Posts
115
Reaction score
339
Mpaka sasa klabu ya Petro de Luanda kutokea nchini Angola ndiyo inayoongoza kwenye msimamo wa Kundi D, michuano ya CAF Champions League hatua ya makundi mara baada ya kuitandika Simba SC chuma moja kwa sifuri katika dimba la Benjamin William Mkapa, Jijini Dar es Salaam.
1763963642239.jpeg
 
Mpira sasa umetosha....
Na pia choma jezi ya yanga au simba na hakuna kununua nyingine....
 
Mwisho wa siku, watakao enda Robo ni Simba na Experance.
 
Laana hiyo wameshindwa hata kutoa pole ya kinafki kwa watanzania
 
Aliyetufanya vibaya ni ccm!
ccm walikuwa wanawatumia hao kuturoga, yaani kutwa kucha watu walikuwa wanaongelea simba na yanga mpaka kuchomana visu...

 
Back
Top Bottom