Leo nimeamua kusikiliza radio ya CCM, kweli kila kitu kina faida na hasara, leo naona faida ya CCM kuwa na radio, nimehangaika kutafuta radio yoyote iliyo online inayotangaza hii mechi; nimeanzia TBC Taifa bila bila, Kiss FM bila bila, Radio One hakuna kitu, cha kushangaza radio ya CCM imeniokoa. Leo ndo nimefaidi kodi yangu inayoenda CCM kama ruzuku.