Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Ligi kuu Tanzania bara muda mfupi ujao unazikutanisha Simba na Mtibwa kwenye uwanja wa uhuru, mechi inayotalajiwa kuwa mgumu kwa pande zote mbili kwani timu hizi na fukuzana huku simba ikiwa nafasi ya 3 na mtibwa 4...
Mtibwa imepania kuwafanyizia simba kama walivyo wafanyia watani zao yebo yebo....
tusubili tuone baada ya dakika 90.
Mtibwa imepania kuwafanyizia simba kama walivyo wafanyia watani zao yebo yebo....
tusubili tuone baada ya dakika 90.