OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,710
mi nishabiki wa simba but nauhakika kabisa hakuna jipya lolote...simba sikuhz kuna wazee pale kwenye uongozi ambao hawajui chochote kuhusu mpira,ndo yaleyale ya kutuletea wale wabrazil coco
unataka tu kuleta ubishi usio na maana mkuu..mimi ni shabiki wa simba damudamu but inatakiwa viongozi wabadilike,wajitahidi kutafuta wachezaji wazuri wenye umri mdogo ili hichi kizazi cha kina boko,nyoni na kina kagere kikiondoka tuwe na timu nzuri yenye vijana waliokaa pamoja mda mrefu na sio kutuletea wale wazee wa brazil ambao hata kiwango chao hakiridhishi...masuala ya kufanya mambo kienyeji enyeji tuwaachie utopolo fcWewe unajua nini kuhusu mpira mkuu?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ombea huyu ceo awe simba miaka 5 hakika utaipendaunataka tu kuleta ubishi usio na maana mkuu..mimi ni shabiki wa simba damudamu but inatakiwa viongozi wabadilike,wajitahidi kutafuta wachezaji wazuri wenye umri mdogo ili hichi kizazi cha kina boko,nyoni na kina kagere kikiondoka tuwe na timu nzuri yenye vijana waliokaa pamoja mda mrefu na sio kutuletea wale wazee wa brazil ambao hata kiwango chao hakiridhishi...masuala ya kufanya mambo kienyeji enyeji tuwaachie utopolo fc
usifungwe we nani. nitajie timu moja duniani ambayo haijawahi kufungwa. utakuwa shabiki mandazi we jamaaTokea tufungwe na Vyura sina tena kiburi cha kupiga kelele kisa Simba
Wakiwekwa wadogo mnaanza ooooh timu haina wazoefu... inatakiwa wawekwe watu waliocheza mech nyingii....unataka tu kuleta ubishi usio na maana mkuu..mimi ni shabiki wa simba damudamu but inatakiwa viongozi wabadilike,wajitahidi kutafuta wachezaji wazuri wenye umri mdogo ili hichi kizazi cha kina boko,nyoni na kina kagere kikiondoka tuwe na timu nzuri yenye vijana waliokaa pamoja mda mrefu na sio kutuletea wale wazee wa brazil ambao hata kiwango chao hakiridhishi...masuala ya kufanya mambo kienyeji enyeji tuwaachie utopolo fc