Sheikh23
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,202
- 2,001
Habari wana jamvi,leo jioni itakua siku nyingine chungu kwa mashabiki wa Simba SC,Kaizer anaenda kutoa kipigo kingine kama sio kinachofanana na kilichopita (4G) basi chini kidogo ya kipigo kilichopita (Kaizer3_Simba SC1) au (Kaizer5_Simba SC 2)
*kocha hana game plan zaidi ya biriani[emoji1787][emoji1787]
*hajui muda amfanyie sub nani,hana timing nzuri ya substitution
*beki ya simba inaaminiwa ni Beki bora ilhali ni beki mbovu,Mo Husein siyo yule wa zamani,kwasasa ni uchochoro,Kapombe ni homa za vipindi,performance yake haitabiriki.
*Forward ni butu,specifically Mugalu ni galasa,kuanzishwa kwa Mugalu ni red card kwa timu.Inafaa aanzishwe Bocco au Kegere kutegemea au wote kwa pamoja itategemea na mfumo/game plan ya kocha.
*Kiungo cha Mkude,Injinia Thadeo hakina ubunifu,kinacheza kizamani sana,waige kwa Mukoko na Feisal wa Yanga SC[emoji123]
*Miquisone na Chama ni watu[emoji109][emoji122][emoji122][emoji122],na hawa ndio engine ya timu ya Simba kwa sasa,shida ni pale timu inapozidiwa hata kikubwa wanachofanya hakionekani (refer last game)
*Bwalya ni homa za vipindi,performance yake haitabiriki.
*Manura ni kipa mbovu kucheza mipira iliyokufa,ni kipa anayepotea anapotunguliwa magoli ya mapema,kama unaanza kushabikia soka leo hili huwezi kulijua...
■Nakiona kipigo kingine kwa Simba leo,tujiandae kisaikolojia...
Sheikh23View attachment 1793629
*kocha hana game plan zaidi ya biriani[emoji1787][emoji1787]
*hajui muda amfanyie sub nani,hana timing nzuri ya substitution
*beki ya simba inaaminiwa ni Beki bora ilhali ni beki mbovu,Mo Husein siyo yule wa zamani,kwasasa ni uchochoro,Kapombe ni homa za vipindi,performance yake haitabiriki.
*Forward ni butu,specifically Mugalu ni galasa,kuanzishwa kwa Mugalu ni red card kwa timu.Inafaa aanzishwe Bocco au Kegere kutegemea au wote kwa pamoja itategemea na mfumo/game plan ya kocha.
*Kiungo cha Mkude,Injinia Thadeo hakina ubunifu,kinacheza kizamani sana,waige kwa Mukoko na Feisal wa Yanga SC[emoji123]
*Miquisone na Chama ni watu[emoji109][emoji122][emoji122][emoji122],na hawa ndio engine ya timu ya Simba kwa sasa,shida ni pale timu inapozidiwa hata kikubwa wanachofanya hakionekani (refer last game)
*Bwalya ni homa za vipindi,performance yake haitabiriki.
*Manura ni kipa mbovu kucheza mipira iliyokufa,ni kipa anayepotea anapotunguliwa magoli ya mapema,kama unaanza kushabikia soka leo hili huwezi kulijua...
■Nakiona kipigo kingine kwa Simba leo,tujiandae kisaikolojia...
Sheikh23View attachment 1793629