XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,293
- 6,956
Naam! ni mnyama simba akipepetana na mlandege kuwania kufuzu hatua ya nusu fainali ya kombe la mapinduzi Zanzibar.
Vikosi vyote viko sawa bin sawia, tayari wakisubiria muda tu ufike tupate kufahamu je ni mnyama simba kutoka bara au ni mlandege kutokea visiwani Zanzibar.
Kwa live updates za mchezo wote ungana nami moja kwa moja kwa dk zote 90. mchezo ni saa 2:15 usiku kwa saa za afrika mashariki.
Vikosi vyote viko sawa bin sawia, tayari wakisubiria muda tu ufike tupate kufahamu je ni mnyama simba kutoka bara au ni mlandege kutokea visiwani Zanzibar.
Kwa live updates za mchezo wote ungana nami moja kwa moja kwa dk zote 90. mchezo ni saa 2:15 usiku kwa saa za afrika mashariki.