sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Msimu wa 2015/2016: Vs Msimu wa 2016/2017:.
Kombe la mapinduzi.
2015/2016: Nusu Fainali.
2016/2017: Mshindi wa 2. Ila ni kwa taabu saana, maana nasikia “ndugu zetu” Azam baada ya mechi walilala na viatu kwa muda wa siku 3 mfululizo.
Kombe la Azam Federation.
2015/2016: Robo Fainali.
2016/2017: Bingwa. Na katika hili suala Tanzania inajua na Dunia inajua kua Simba S.C walistahili kukabidhiwa kombe lake mapema kabisa.
Ligi Kuu.
2015/2016: Mshindi wa Tatu.
2016/2017: Mshindi wa 2 katika makaratasi. Ila katika nafsi za wapenda soka wote Duniani, Simba S.C ni Bingwa wa VPL msimu huu wa 2016/2017.
Kwa Takwimu zaidi;
1. Idadi ya Mechi 30.
2. Jumla ya Point; 2015/2016: ni 62 na 2016/2017: ni 68.
3. Magoli ya Kufunga; 2015/2016: ni 47 na 2016/2017: ni 50.
4. Magoli ya Kufungwa; 2015/2016: ni 24 na 2016/2017: ni 17.
5. Idadi ya mechi tulizofungwa; 2015/2016: ni 6 na 2016/2017: ni 4.
6. Idadi ya mechi tulizoshinda; 2015/2016: ni 19 na 2016/2017: ni 21.
7. Idadi ya mechi tulizotoka sare; 2015/2016: ni 5 na 2016/2017: ni 5.
Japo hatujatimiza malengo yetu ya kubeba mataji 3 katika msimu huu, wapenzi na wanachama wenzangu wa Simba S.C tusihuzunike, tutembee vifua mbele kwani;
1. Ukiangalia takwimu hizo kwa umakini mkubwa, utagundua kua Simba S.C ya msimu huu ilikua ni moto wa kuotea mbali.
2. Ukilinganisha na takwimu za wapinzani wetu, utagundua Simba S.C ya msimu huu, si ya nchi hii.
Shukrani Shiza Kichuya.
Ndala tukutane Julius Nyerere International Airport.
Kombe la mapinduzi.
2015/2016: Nusu Fainali.
2016/2017: Mshindi wa 2. Ila ni kwa taabu saana, maana nasikia “ndugu zetu” Azam baada ya mechi walilala na viatu kwa muda wa siku 3 mfululizo.
Kombe la Azam Federation.
2015/2016: Robo Fainali.
2016/2017: Bingwa. Na katika hili suala Tanzania inajua na Dunia inajua kua Simba S.C walistahili kukabidhiwa kombe lake mapema kabisa.
Ligi Kuu.
2015/2016: Mshindi wa Tatu.
2016/2017: Mshindi wa 2 katika makaratasi. Ila katika nafsi za wapenda soka wote Duniani, Simba S.C ni Bingwa wa VPL msimu huu wa 2016/2017.
Kwa Takwimu zaidi;
1. Idadi ya Mechi 30.
2. Jumla ya Point; 2015/2016: ni 62 na 2016/2017: ni 68.
3. Magoli ya Kufunga; 2015/2016: ni 47 na 2016/2017: ni 50.
4. Magoli ya Kufungwa; 2015/2016: ni 24 na 2016/2017: ni 17.
5. Idadi ya mechi tulizofungwa; 2015/2016: ni 6 na 2016/2017: ni 4.
6. Idadi ya mechi tulizoshinda; 2015/2016: ni 19 na 2016/2017: ni 21.
7. Idadi ya mechi tulizotoka sare; 2015/2016: ni 5 na 2016/2017: ni 5.
Japo hatujatimiza malengo yetu ya kubeba mataji 3 katika msimu huu, wapenzi na wanachama wenzangu wa Simba S.C tusihuzunike, tutembee vifua mbele kwani;
1. Ukiangalia takwimu hizo kwa umakini mkubwa, utagundua kua Simba S.C ya msimu huu ilikua ni moto wa kuotea mbali.
2. Ukilinganisha na takwimu za wapinzani wetu, utagundua Simba S.C ya msimu huu, si ya nchi hii.
Shukrani Shiza Kichuya.
Ndala tukutane Julius Nyerere International Airport.