This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,904
- 4,980
Ukitaka kujua hilo fungua threads zote zilizotumwa kwa muda wa mwezi mmoja tu humu katika jukwaa la michezo, utaona maandiko yanayoizungumzia Simba ni zaidi ya 80%.
Ziwe post hasi au chanya.
Watu wa Yanga walioko humu jukwaani na wanafahamika, siku zote huwaza waandike nini kuhusu Simba.
Hawana habari na Yanga. Simba ndiyo habari inayouza.
Nenda ktk social media kama FaceBook, huwezi kumkuta shabiki wa Simba katka group za Yanga lakini katika magroup ya Simba jamaa ndiyo wamejaa mle.
Unajiuliza,kwa shabiki anaejitambua unajiunga na group za mpinzani wako kufanya nini?
Una akili wewe?
NB: Simba imekua kama maji usipoyanywa, utayaoga nk
Ziwe post hasi au chanya.
Watu wa Yanga walioko humu jukwaani na wanafahamika, siku zote huwaza waandike nini kuhusu Simba.
Hawana habari na Yanga. Simba ndiyo habari inayouza.
Nenda ktk social media kama FaceBook, huwezi kumkuta shabiki wa Simba katka group za Yanga lakini katika magroup ya Simba jamaa ndiyo wamejaa mle.
Unajiuliza,kwa shabiki anaejitambua unajiunga na group za mpinzani wako kufanya nini?
Una akili wewe?
NB: Simba imekua kama maji usipoyanywa, utayaoga nk