Simba ndio timu yenye Mashabiki wengi Tanzania

Mtoa ama mleta mada asante kwa wazo lako pamoja na kuwa mfu...hahaha
1.No research no right to speak...
2.Usiwe unakuja na hja popote bila utafiti wa kina kuja na madharia za kuangalia umati wa watu simba day nk sio kigezo cha data base ya TIMU ZOTE HIZO...
3.Yanga na Simba kujua data base sahihi ni mtihani….KWENYE KIPINDI CHA MAFANIKIO UTAWAONA..WENGI RUDI NYUMA KIPINDI CHA JERRY MURRO NA MANJI v/s Manara wakati huo Simba hali tetete kiuchumi….Yanga ilikuwa mwisho wa maneno SASA HIVI WENGI WANABAKI AZAM TV kuogopa matokeo mabaya...
 
Kweli mikia ni mbumbumbu...yanga inaongoza kuwa na matawi mengi nchini na wanachama wengi,,hii ina define uwepo wa mashabiki wengi kuliko mikia,mbumbumbu mnakwama wapi mbona mnaishi kwa mihemko sana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaongoza ligi bado inabidi mchangiwe!!!
Hao wapenzi wenu wengi wako wapi?
Arusha leo mazoezi tu ya Simba uwanja umejaa!!!!
Chura walipocheza Arusha African Lyon walilalamika watazamaji elfu 4.
Sasa kwann walalamike game ya arusha wakati kimapato ilikua haiwahusu yanga?

Africa Lyon ndio alikua nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kawaida mashabiki wa simba wameujaza tena uwanja wa shekh amiri abedi. Safi sana kwa kuipa sapot timu yenu.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ni kweli kweli kabisa Simba ina mashabiki wengi sana ila kuna kitu hujui wengi wao ni walala hoi jobless na watu wa vijiweni ndiyo maana hata iwe siku ya kazi wanajaza uwanja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kweli kabisa Simba ina mashabiki wengi sana ila kuna kitu hujui wengi wao ni walala hoi jobless na watu wa vijiweni ndiyo maana hata iwe siku ya kazi wanajaza uwanja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Walahoi wanajulikana. Mashabiki wa Simba wana uwezo wa kulipa viingilio.
Migongo wazi mlichanganisha siku nzima elfu 74.
Leo pia wamejaza uwanja ili mapato yawasaidie African Lyon ambao kwenye mechi na Chura walilalamika kupata hasara kwani watazamaji walikuwa wachache.
 
Ukweli mchungu. Ila mwenye macho haambiwi tazama. Mikoani. Dar kila maali ni simba brother.

kama nimfuatiliaji mzuri wa mechi utagundua simba ndio tim yenye washabiki wengi bara na visiwani. Ukirejea tamasha la simba day. Mechi ya mbambane. Nkana. Js soura. Elliy haly na leo watani. Utagundua wingi wa mashabiki ni wa simba.

hivyo nawashauri viongozi wa simba kutumia fursa hii kuifanya simba iwe bora kabisa africa na dunia kwa ujumla. Mashabiki wengi ni fursa nzuri kama ikitumiwa vizuri.
Uwanja wote ulijazwa na mashabiki wa simba au ilikuwa half simba half Yanga? Umetumia kigezo gani kudhibitidha hoja yako? Timu kongwe Tanzania hii au afrika mashariki na Kati ni Yanga na ndiyo ina mashabiki wengi. Tatizo simba ndiyo yenye mashabiki Wengi wenye Kelele na sio watulivu.ilipigwa 5x 2 hatujasikia kelele nyingi hata magazeti au tv kimya leo amebahatisha kagoli kamoja kwa Yanga makelele kibao kwenye magazetini kwenye radio kwenye tv . Kwa timu ya simba ilivyokuw na usajili na majina makubwa ushindi ilikuwa finyu na wakujaribu ukizingatia Yanga timu bado inatengenezwa usajili ulikuwa wa kuungaunga hakuna Kipa mzuri klabu haina viongozi kiuchumi ipo vibaya. Hii inaonyesha kwanini simba inaiogopa Yanga sana. Nilisoma kwenye gazeti kuna kiongozi mmoja wa simba alienda Yanga akawa kiongozi sasa najiuliza kuna haja ya kuangalia hii migogoro inayotokea Yanga kwa jicho la pili. Ikumbukwe simba ilianzishwa baada ya kikundi cha waarabu kushawishi kundi la wazalendo waafrika kujitoa katika Yanga na kuanzisha Sunderland iliyokuja kuitwa simba
 
Ki idadi kwa maana ya nchi nzima Yanga ina mashabik weng ila Mashabiki wa simba wanaongoza kwenda uwanjan kushangalia team yao sio dar tu mpka mikoani.
Sure,Huyu atakuwa katoka sober house yaani simba mashabiki wengi muwatoe wapi?
 
washabiki wa simba ni vibaka na wavuta bangi wahuni wasio kuwa na kazi ndio maana kelele nyingi wakati washabiki wa yanga ni wasomi
 
Hawaongezi timu kwa kufika robo fainali tu mara moja kila unavyosonga kuna point nadhani hata Simba tukifka fainali hatuna point za kutuwezesha kuongezewa timu ligi yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania tayari ina points 4. Thanks to Yanga kwa kuingia makundi mfululizo. Quarter finals ina points nyingi ila kuna kuna factor ya timu nyingine kutoka ligi shindani kwa sababu hizo nafasi ziko limited.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom