Habari wana JF, nafuatilia kwa makini kipindi hiki cha usajili wa wachezaji wa timu zetu kuelekea msimu mwingine wa ligi kuu ya Tanzania kwa timu zetu hizi za Bongo. Ukifuatilia kwa kina utaona vyombo vingi vya habari vinatupia macho klabu kubwa za Yanga na Simba na sasa kwa kiasi fulani klabu ya Azam.
Nimesoma na kusikia kwamba klabu ya Simba ina mpango wa kumtupia virago beki wake wa kata Juma Nyoso. Mie, kwa mtizamo wangu naona kama Simba hapo watakuwa wamechemsha kabisa, sababu kubwa wanatoa ni kwamba beki huyu wa kati amekuwa akiigharimu timu. Naomba niseme mie nimekuwa nafuatilia michezo mingi ya klabu ya Simba dhidi ya timu pinzani na sijaona kama Juma Nyoso anastahili kutupiwa vilago.
My take:
Klabu za Simba na Yanga ni chanzo cha kuharibu vipaji kwa wachezaji chipukizi, kumbuka suala la Athuman Idd na sasa Kevin Yondan. Jamani wachezaji muwe makini.
Naomba tujadili.
Nimesoma na kusikia kwamba klabu ya Simba ina mpango wa kumtupia virago beki wake wa kata Juma Nyoso. Mie, kwa mtizamo wangu naona kama Simba hapo watakuwa wamechemsha kabisa, sababu kubwa wanatoa ni kwamba beki huyu wa kati amekuwa akiigharimu timu. Naomba niseme mie nimekuwa nafuatilia michezo mingi ya klabu ya Simba dhidi ya timu pinzani na sijaona kama Juma Nyoso anastahili kutupiwa vilago.
My take:
Klabu za Simba na Yanga ni chanzo cha kuharibu vipaji kwa wachezaji chipukizi, kumbuka suala la Athuman Idd na sasa Kevin Yondan. Jamani wachezaji muwe makini.
Naomba tujadili.