MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,990
- 34,838
Mimi ni mmoja wa watu tunaoamini Victor Nampoka Costa ni beki mwenye kipaji cha hali ya juu sana na pengine ndiye beki mwenye kipaji kuliko wote hapa tanzania kwa kizazi hiki.
Majeruhi yameshusha sana kiwango chake lakini hivi karibuni amejitahidi kurejea tena lakini bado hajafikia kiwango chake tunachokijua.Pamoja na yote hayo bado ukiangalia uchezaji wake anaweza kumiliki na kupiga pasi za uhakika kuliko wachezaji wengi sana wa Tanzania ya leo.uwezo wa kukaba ni mzuri pia(ingawa si kama alivyokuwa mwanzo hadi akaitwa "Nyumba").
Nimeshangazwa na Simba kutaka kumuacha Costa wakati huu kiwango chake kikirejea kwa kasi.naamini wakimtumia kama kiungo atawapa matunda bora zaidi kuliko kucheza namba 5.
Maoni yangu tu wadau wa Simba.
Majeruhi yameshusha sana kiwango chake lakini hivi karibuni amejitahidi kurejea tena lakini bado hajafikia kiwango chake tunachokijua.Pamoja na yote hayo bado ukiangalia uchezaji wake anaweza kumiliki na kupiga pasi za uhakika kuliko wachezaji wengi sana wa Tanzania ya leo.uwezo wa kukaba ni mzuri pia(ingawa si kama alivyokuwa mwanzo hadi akaitwa "Nyumba").
Nimeshangazwa na Simba kutaka kumuacha Costa wakati huu kiwango chake kikirejea kwa kasi.naamini wakimtumia kama kiungo atawapa matunda bora zaidi kuliko kucheza namba 5.
Maoni yangu tu wadau wa Simba.