Simba msamehe Manula naye ni binadamu sawa alikengeuka lakini msameheni

Simba msamehe Manula naye ni binadamu sawa alikengeuka lakini msameheni

Mliambiwa fanyeni usajili kwakua Yanga wako vizuri mkawa mna puuza.
Sasa mtaendelea kutandikwa na Yanga mpaka mshike adabu, mta tafuta visingizio mpaka vita kwisha.

Mpango uliopo ni kuwafunga Simba mara 10 mfulululizo.
 
Hivi ni kweli alikula pesa za yanga?
Kungekuwa na ukweli si kesi ingeshafika TAKUKURU kwa kuoneshwa vithibitisho? Manula alitingisha kiberiti cha kutimka Simba ila wanachofanya uongozi wa Simba ni kumkomoa na kumuharibia. Haya yangefanyika kwa Yanga tungesikia kauli cha roho mbaya
 
Kungekuwa na ukweli si kesi ingeshafika TAKUKURU kwa kuoneshwa vithibitisho? Manula alitingisha kiberiti cha kutimka Simba ila wanachofanya uongozi wa Simba ni kumkomoa na kumuharibia. Haya yangefanyika kwa Yanga tungesikia kauli cha roho mbaya
FB_IMG_17426799943098757.jpg
 
Siyo yeye peke yake kuna wale wacongo wawili mmoja walimsajili kisha wakamwacha kihuni,na yule kiungo konokono
Lini kesi inafunguliwa TAKUKURU? viongozi wanacheza na akili zenu na nyie mnajaa hata hamtumii akili. Manula alikuwa majeruhi na hakucheza mechi kwa muda mrefu sana hivyo sio rahisi Yanga wategemea kumuhonga Manula aliyekaa nje ya uwanja muda mrefu mbele ya goli kipa Ayoub aliyeonesha kiwango kikubwa. Sema basi na viongozi wako na benchi lenu la ufundi imekula rushwa kwa kumpanga mchezaji asiyekuwa na match fitness
 
Ukileta audio au video ya huyo kocha akiongea hayo maneno nipigwe ban. Shida nyie ndio wale watu wa kuchukua taarifa za uongo na uzushi mitandaoni bila kutumia akili. Si ilisambaa taarifa kuwa Ali Kamwe kufungiwa kisa kila mtu alipost kama vile ni jambo la ukweli kumbe uzushi. Njoo na video au audio ya huyo kocha wa Tabora, wala msimlishe maneno
 
Siyo yeye peke yake kuna wale wacongo wawili mmoja walimsajili kisha wakamwacha kihuni,na yule kiungo konokono
Hebu legeza code, akili zishajaa mambo mengi..
Kiungo konokono, ngoma au!?
Mkongo walimsajili na kumuacha kihuni.. Baleke.
 
Alikengeuka wapi? Ni uchawi kuwa na viongozi wasiokuwa na akili timamu! Mchezaji alikuwa majeruhi kwa muda mrefu anakuja kudaka game ambayo ni derby, anafungwa goli zote ambazo hakuna hata moja yenye ukakasi lakini anabebeshwa zigo la lawama as if peke ake ndio alicheza.

Kama shabiki wa Simba inaumiza sana kuona wanamuharibia mshkaji ugali wake kisa kutumia hisia na oya oya, mpira wa Tz utaendelea siku hawa wazee wajinga wajinga wakishaondoka. Basi ni mara mia wangemuacha aende hata kwingine
 
Hebu legeza code, akili zishajaa mambo mengi..
Kiungo konokono, ngoma au!?
Mkongo walimsajili na kumuacha kihuni.. Baleke.
Mkuu acha kusikiliza hao mashabiki oya oya wa vijiweni, karejee ile game halafu angalia perfomance ya hao wote aliowasema kama ilikuwa na mashaka! Ukweli mchungu ile game yanga walituoutsmart kila eneo, hamna goli alifungwa Manula lenye ukakasi na hata hicho anachokisema akiambiwa atoe ushahidi hana. Wabongo wanatafuta mtu wakumtoa kafara na hiyo kafara wakawa Baleke na Manula
 
Alikengeuka wapi? Ni uchawi kuwa na viongozi wasiokuwa na akili timamu! Mchezaji alikuwa majeruhi kwa muda mrefu anakuja kudaka game ambayo ni derby, anafungwa goli zote ambazo hakuna hata moja yenye ukakasi lakini anabebeshwa zigo la lawama as if peke ake ndio alicheza.

Kama shabiki wa Simba inaumiza sana kuona wanamuharibia mshkaji ugali wake kisa kutumia hisia na oya oya, mpira wa Tz utaendelea siku hawa wazee wajinga wajinga wakishaondoka. Basi ni mara mia wangemuacha aende hata kwingine
Dogo.hili liache tu lipite sisi tunajua mengi tusimwaribie mwenzio. Kifupi asamehewe muanze mpanga matches zijazo
 
Dogo.hili liache tu lipite sisi tunajua mengi tusimwaribie mwenzio. Kifupi asamehewe muanze mpanga matches zijazo
Unajua mengi wapi mnafiki tu na roho mbaya kama kawaida ya wabongo, mtu ungekuwa unajua mengi si ungeweka evidence hapa? Kitendo tu cha kuuanzisha huu uzi ni kumsagia kunguni kwa kuonesha alishiriki kweli kwenye rushwa sasa malizia uzi wako kwa kuweka ushahidi sio kuchafua tu mchezaji ili future yake ilipotee mazima. Kupangwa kwa Manula kwenye ile derby ilikuwa ni surprise kwa kila mmoja na pengine hata Yanga hawakutaraji kama angedaka yeye kwasababu Ayoub ndiye aliyekuwa na match fitness na muendelezo mzuri wa kiwango, hivyo kama kufikiria kuhongwa lazima angehongwa ambaye ana asilimia kubwa kucheza mechi tofauti na Manula ambaye hakuwahi kucheza mechi kwa kipindi kirefu sana kutokana na majeraha. Mashabiki wa bongo mnaendeshwa sana na propaganda
 
Mliambiwa fanyeni usajili kwakua Yanga wako vizuri mkawa mna puuza.
Sasa mtaendelea kutandikwa na Yanga mpaka mshike adabu, mta tafuta visingizio mpaka vita kwisha.

Mpango uliopo ni kuwafunga Simba mara 10 mfulululizo.
Na mpango mwingine ulikuwa kuwa timu ya kwanza kuleta ubingwa wa Afrika Tanzania, saivi mpo hatua ya robo fainali na mtacheza na Uyole Combine
 
Back
Top Bottom