Wee jamaa kumbe sometime akili zako ni za hovyo hivyo? Huo ushahidi ulionao kwa nini usiuweke kwenye andiko lako?
Unasema hakuna ushahidi kuwa "
Mna ushaidi gani yanga alitoa pesa kwamba Simba afungwe na biashara?
Halafu unasema pia "Nina ushaidi wa kutosha kwamba Rais wa TFF pamoja na viongozi wandamizi wa Simba na baadhi wa serikali wameihujumu biashara ili isisafiri kisa ilitoa droo na Simba.
Sasa ili tuende sawa na isiwe kuwa hii ni porojo na kwamba akili zako siyo za hovyo, anika wazi huo ushahidi ulionao ili hatua stahili zichukuliwe!
Lakini pia nikuulize, Biashara ilikwama kusafiri kuelekea Djibouti mara mbili mfululizo kwenye hatua ya awali ilipocheza na FC Dikhil hali iliyoilazimu kuchelewa kusafiri siku ya mechi baada ya jitihada kufanyika na ukumbuke ilikuwa ni kabla ya kucheza na Simba, je hapo napo ilikuwa inahujumiwa na Simba pamoja na viongozi wa TFF?