Record zinaonyesha kala anapopewa majukumu huwa anaharibu tena anaharibu vibaya.
1. 1. Alipewa kazi mamlaka ya ustawishaji makao makuu CDA aliharibu mpaka akafukuzwa.
2. 2 Baada ya hapo akapewa madaraka chama cha soka cha Dar-es-sallam DRFA akaanza ugomvi na serikali kugombea uwanja wa karume ( karume memorial ) hakufanikiwa uwanja bado uko kwa mmiliki wa awali, napo wala hakupata mafanikio.
3. 3 Akapewa ukatibu mkuu kwa iliyokuwa FAT pale ndo akavuluga,eti anaweza fitina za mchezo sasa mafitina ndio manini, wakaanzisha wao na Ndoranga sheria ya 18 ya FIFA eti timu ya nyumbani lazima ishinde sheria hiyo ikauwa kabisa kiwango cha soccer la Tanzania, mbaya kuliko zote mahali hapo Rage alivuruga akafungwa na kufungwa jela kwa sababu za wizi.
4. 4. Hujifanya anajua sheria yeye na wenzie walituponza kama Taifa vijana wetu wa Serengeti boys wakafukuzwa kwenye mashindano ya Africa nafasi yetu wakachukua Zimbabwe, kujifanya wanajua wakamchezesha mchezaji wa zaidi ya miaka 17 ambapo walikamatwa redhanded na ushahidi wa passport.
5. 5 Kwenye ubunge wa Tabora nako ni majanga tu hela za mfuko wa jimbo wala hazijulikanai zinakoenda mana ndani ya CCM ni familia ya panya baba, mama, motto, njomba wote ni machokolaa.
6. 6.Kujifanya kwake anajua amesajili wachezaji kwa kukiuka utaratibu wachezaji 5 wameshindwa kucheza jana teyari timu zimeanza kuvuna point na magoli maana biashara asubuhi wenyewe Simba na Rage wao wanahunyahunya tu.
Simba mfukuzeni Rage mpate mafanikio hivi anawashindeni nini?
1. 1. Alipewa kazi mamlaka ya ustawishaji makao makuu CDA aliharibu mpaka akafukuzwa.
2. 2 Baada ya hapo akapewa madaraka chama cha soka cha Dar-es-sallam DRFA akaanza ugomvi na serikali kugombea uwanja wa karume ( karume memorial ) hakufanikiwa uwanja bado uko kwa mmiliki wa awali, napo wala hakupata mafanikio.
3. 3 Akapewa ukatibu mkuu kwa iliyokuwa FAT pale ndo akavuluga,eti anaweza fitina za mchezo sasa mafitina ndio manini, wakaanzisha wao na Ndoranga sheria ya 18 ya FIFA eti timu ya nyumbani lazima ishinde sheria hiyo ikauwa kabisa kiwango cha soccer la Tanzania, mbaya kuliko zote mahali hapo Rage alivuruga akafungwa na kufungwa jela kwa sababu za wizi.
4. 4. Hujifanya anajua sheria yeye na wenzie walituponza kama Taifa vijana wetu wa Serengeti boys wakafukuzwa kwenye mashindano ya Africa nafasi yetu wakachukua Zimbabwe, kujifanya wanajua wakamchezesha mchezaji wa zaidi ya miaka 17 ambapo walikamatwa redhanded na ushahidi wa passport.
5. 5 Kwenye ubunge wa Tabora nako ni majanga tu hela za mfuko wa jimbo wala hazijulikanai zinakoenda mana ndani ya CCM ni familia ya panya baba, mama, motto, njomba wote ni machokolaa.
6. 6.Kujifanya kwake anajua amesajili wachezaji kwa kukiuka utaratibu wachezaji 5 wameshindwa kucheza jana teyari timu zimeanza kuvuna point na magoli maana biashara asubuhi wenyewe Simba na Rage wao wanahunyahunya tu.
Simba mfukuzeni Rage mpate mafanikio hivi anawashindeni nini?