son of a teacher
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 515
- 1,364
Leo viungo wa Ruvu Shooting Shabani Msalla na Zubery Dabi waliwatawala sana simba na kuwapoteza haswa kwenye nafasi ya kiungo,sijawahi kuona simba ikipotea eneo la kiungo kwa dakika 90 zote.
Kocha akamtoa Bocco na kumuingiza Mzamiru Yassin ili kuweza kuwazuia viungo hawa wawili waliokuwa wakifanya yao eneo la kiungo lakini bado Simba walizidi kuelemewa na kucheza long balls tu hadi Nyosso anatolewa kwa nyekundu Ruvu walikuwa wamelishika eneo la kiungo na kupiga flow za pass.
Boniface Mkwasa aliingia na mbinu mzuri ya kuwazuia Simba makosa machache yamewagharimu
Kocha akamtoa Bocco na kumuingiza Mzamiru Yassin ili kuweza kuwazuia viungo hawa wawili waliokuwa wakifanya yao eneo la kiungo lakini bado Simba walizidi kuelemewa na kucheza long balls tu hadi Nyosso anatolewa kwa nyekundu Ruvu walikuwa wamelishika eneo la kiungo na kupiga flow za pass.
Boniface Mkwasa aliingia na mbinu mzuri ya kuwazuia Simba makosa machache yamewagharimu