nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
SASA HIVI ANACHOFANYA NI KU PROVE KWA HALI YOYOYTE ILE KWAMBA SIMBA NI VIBONDE...baada ya kuwapiga wa algeria 3 roho ilimuuma sana,juzi tumekula 5 bila nikaliona lilikuwepo uwanjani pale kinshasa
najua wachezaji wengi ni washkaji zake,PIGENI MARUFUKU WASISALIMIANE NAYE KABLA YA MECHI manaa lazima litaenda na misri tupigwe tena ili lionekane linajua,lina masifa ya kihaya
NI ADUI WA SIMBA KUWENI MAKINI NALO
najua wachezaji wengi ni washkaji zake,PIGENI MARUFUKU WASISALIMIANE NAYE KABLA YA MECHI manaa lazima litaenda na misri tupigwe tena ili lionekane linajua,lina masifa ya kihaya
NI ADUI WA SIMBA KUWENI MAKINI NALO