SINA JAMBO
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 340
- 270
hatukuanzia group stage tulianzia play offs kat ya mbabane na nkanaOoh. Haya bana Mtani japo mlipo sasa ni Mtoano na kwa ule mwendo wa 5,5 sijui kama hapo mnapopaita kaburini zinaezekana kurudishwa na ushindi kupatikana. Labda mfungwe chache ugenini yaezekana ikawa kweli hiyo ndoto kubwa.
ko hilo msiasahau
Sent using Jamii Forums mobile app