iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
Suala la kufungiwa na Fifa kufanya usajili kwa kukiuka mkataba wa kuuza aliyekuwa mchezaji wa Simba ni tatizo la CEO kutojua majukumu yake kwani alipaswa kutekeleza hilo ambapo ndo mojawapo ya majukumu yake.
CEO hatufai aondoke/aachie ngazi haraka
Hilo lisingetokea kwa CEO aliyepita Ms Barbabra
CEO hatufai aondoke/aachie ngazi haraka
Hilo lisingetokea kwa CEO aliyepita Ms Barbabra