kimbweto
Member
- Oct 6, 2012
- 53
- 189
Muda wote wa mchezo kuna mtu alikuwa akiwamulika haswa kipa usoni uhuni ule fifa na caf wanauona????kama wanauona iweje wafumbie macho.kwa upuuzi na fitna za timu za kiarabu ndiyo maana wakikutana na wazungu wanabamizwa.wito wangu kwenu Simba kateni rufaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app