Simba itafute kocha haraka

Huja

JF-Expert Member
Aug 7, 2021
849
1,325
Nimetazama mechi za simba dhidi ya Coastal union leo na nimegundua yafuatayo:

simba haina mipango ya ufundi utafutaji wa goli. Sawa kuna juhudi ila kila sriker inapaparika huoni mbinu, akili. Mfano ni namna Dilunga anavyokimbia ktk 18 area Hana ubunifu. Hali kadhalika Kibu Dennis anakimbia tu bila ya kuangalia movements ya wenzake.

Bwaliya si mbaya ila nae anahitaji mafundi wenzake waliomzunguka. Nafasi zilikuwapo si kwamba defence ilikuwa solid lakini ni simba iliyokosa nn cha kufanya.

Nimeona impact kubwa ya Mkude, namna anavyoituliza kwa pasi za kutawanya fupi fupi tofauti na Kanoute ambaye ni pasi ndefu za haraka nyingi zinazopotea . Boko bado ni aina ya forward lazima apenyezewe. Nani afanye hivyo. Kapombe anapanda lakini kross zake hazinaga msaada ..huwa anapiga tu gombania goli.

Kongole kubwa kwa beki Inonga ..classic defense.

Marekebisho ya haraka yanahitajika jinsi ya kuitengeneza attacking force..na hapa tunahitaji kocha maarifa haraka na mapema sana..
 
Nyoni ilibidi aingilie Kati kumshauri kocha, kila mchezaji anataka afunge, mbinu za goli hakuna sanasana juhudi binafsi za wachezaji. Ni vema kabla ya kufanya mabadiliko ya benchi la ufundi wangetafuta kocha Kwanza.
 
Jamani mashabiki wenzangu wa simba, kulikoni! Kwani Selemani Matola na mwenzake Hitimana wana kasoro gani?

Tuwape muda bhana! Msimu huu ni lazima tuchukue ubingwa kwa mara ya tano mfululizo!
 
Mnamtaka kocha mzungu si ndio eee?!!! 🤣🤣

Kwa hiyo nafasi zote zile mlizokosa mbele ya goli ni kosa la HITIMANA?!!!!

#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Sasa mkuu itakuwaje kuna mtu alisema usajili wa kanoute ansiyona Simba nusu fainali CAF, wewe umeonesha mkude ni wa maana kuliko kanoute.

OKW BOBAN SUNZU
 
Ma- striker wetu wote si wanyumbulifu au wabunifu. Technical ability yao ni ndogo sana na siyo clinical. Ndio maana wote waliwategemea sana CCC na Konde Boy kuwapa pasi za mwisho. Sasa inakuwaje kocha awapange wachezaji hawa watatu (ma-striker) wenye madhaifu makubwa na ategemee kupata matokeo? Upangaji huu hupunguza nguvu katika eneo la kiungo na kupwaya sana. Striker mmoja tu anatosha na mimi sijawahi ona timu inacheza na ma-striker watatu duniani na sijui huu mfumo Simba waliupata wapi. Wanaweza kuwa waliongoza kwa magoli kwenye ligi lakini waliokuwa wanawapa pasi rahisi za mwisho hawapo tena.
Ajibu ndio alieyekuwa anamfatia CCC kwenye assists tunaona anaozea benchi. Kama timu itaendelea na aina hii ya uchezaji,Hitimana na Matola hawato chukua mwezi mmoja kibaruani. Ningeoenda kumuona Ajibu akirudia kikosini na sioni kwa kwa nini timu yetu inshindwa kucheza kama timu wakati wachezaji karibia wote wa msimu uliopita wote wapo. Upangaji wa kikosi umekuwa ni tatizo kubwa na nashauri tu Hitimana asimsikilize Matola kwenye upangaji wa kikosi.
 
Nimetazama mechi za simba dhidi ya Coastal union leo na nimegundua yafuatayo:

simba haina mipango ya ufundi utafutaji wa goli. Sawa kuna juhudi ila kila sriker inapaparika huoni mbinu, akili. Mfano ni namna Dilunga anavyokimbia ktk 18 area Hana ubunifu. Hali kadhalika Kibu Dennis anakimbia tu bila ya kuangalia movements ya wenzake.

Bwaliya si mbaya ila nae anahitaji mafundi wenzake waliomzunguka. Nafasi zilikuwapo si kwamba defence ilikuwa solid lakini ni simba iliyokosa nn cha kufanya.

Nimeona impact kubwa ya Mkude, namna anavyoituliza kwa pasi za kutawanya fupi fupi tofauti na Kanoute ambaye ni pasi ndefu za haraka nyingi zinazopotea . Boko bado ni aina ya forward lazima apenyezewe. Nani afanye hivyo. Kapombe anapanda lakini kross zake hazinaga msaada ..huwa anapiga tu gombania goli.

Kongole kubwa kwa beki Inonga ..classic defense.

Marekebisho ya haraka yanahitajika jinsi ya kuitengeneza attacking force..na hapa tunahitaji kocha maarifa haraka na mapema sana..
Lakini mbona walitengeneza nafasi nyingi za magoli walishindwa kuzitumia?siku hazifanani Ni timu nzuri Ila bahati haikuwa yetu,moja
 
Nimetazama mechi za simba dhidi ya Coastal union leo na nimegundua yafuatayo:

simba haina mipango ya ufundi utafutaji wa goli. Sawa kuna juhudi ila kila sriker inapaparika huoni mbinu, akili. Mfano ni namna Dilunga anavyokimbia ktk 18 area Hana ubunifu. Hali kadhalika Kibu Dennis anakimbia tu bila ya kuangalia movements ya wenzake.

Bwaliya si mbaya ila nae anahitaji mafundi wenzake waliomzunguka. Nafasi zilikuwapo si kwamba defence ilikuwa solid lakini ni simba iliyokosa nn cha kufanya.

Nimeona impact kubwa ya Mkude, namna anavyoituliza kwa pasi za kutawanya fupi fupi tofauti na Kanoute ambaye ni pasi ndefu za haraka nyingi zinazopotea . Boko bado ni aina ya forward lazima apenyezewe. Nani afanye hivyo. Kapombe anapanda lakini kross zake hazinaga msaada ..huwa anapiga tu gombania goli.

Kongole kubwa kwa beki Inonga ..classic defense.

Marekebisho ya haraka yanahitajika jinsi ya kuitengeneza attacking force..na hapa tunahitaji kocha maarifa haraka na mapema sana..
Msimu uliopita
Mechi nne pointi nne
Msimu huu
Mechi nne pointi nane

Tumeimarika sana ni wachezaji tu kukubali no chama no luis wacheze mpira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom