Simba ipite, KMC ipite, Azam ipite YANGA ISIPITE.

Mechi ya KMC itakuwa saa ngapi hiyo Ijumaa.Nataka kwenda kuwaona na kuwashangilia
 
game ni saa 9 alasiri ila tuombeni pia yanga nao wapite ila kwenye ligi yetu ndio tuwape nafasi ya tatu yaani bingwa simba azam mshindi wa pili vyura wa tatu wakamtimue zahera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…