Tetesi: Simba inamnyemelea Aziz Ki

Dabil

JF-Expert Member
Sep 30, 2021
5,885
13,263
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.

Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.

Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.

Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.

Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?
 
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.

Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.

Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.

Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.

Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?
Simba wanajitekenya na kucheka....
Yenyeweee
 
Yanga haiwezi kua inaendeshwa kienyeji kiasi hicho,ntakua wa mwisho kuamini kua mpaka sasa hawajakaa mezani na mchezaji wake tegemezi

Maxi zengeli walimpa mkataba wa muda mfupi baada ya Kuona anakiwasha wakamboreshea mkataba na kumpa crown new model juu

Hersi ni mtu makini hawezi kufanya makosa ya kizembe hivi, alafu Kuna interview niliona aziz k akimsifia hersi kua wapo karibu sana na hua anaenda mpaka kuitembelea familia yake

Anyway muda utaongea, ila nahisi Simba wanaeneza propaganda kama walivyowafanyia mambumbumbu kwa manzoki
 
Yanga haiwezi kua inaendeshwa kienyeji kiasi hicho,ntakua wa mwisho kuamini kua mpaka sasa hawajakaa mezani na mchezaji wake tegemezi

Maxi zengeli walimpa mkataba wa muda mfupi baada ya Kuona anakiwasha wakamboreshea mkataba na kumpa crown new model juu

Hersi ni mtu makini hawezi kufanya makosa ya kizembe hivi, alafu Kuna interview niliona aziz k akimsifia hersi kua wapo karibu sana na hua anaenda mpaka kuitembelea familia yake

Anyway muda utaongea, ila nahisi Simba wanaeneza propaganda kama walivyowafanyia mambumbumbu kwa manzoki
Rejea sakata la Morrison
 
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.

Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.

Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.

Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.

Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?
Aziz Ki mwenyewe anajua hatakua ma kiwango hicho hicho kwanza waliokua wanamzodoa hana kiwango ni hao hao leo wanapambana kupata sahihi yake (km ni kweli) wakati huo huo wanamtaka Fei Toto kwa namba hiyo hiyo ya Aziz kumbuka Nabi alishindwa kuwachesha pamoja na wote wakawa katika kiwango bora ktk mechi....km Aziz haja ongeza mkataba ujue tayari YANGA wameishafanya usajili wa ki ya kimya kujaza pengo lake
 
Hata Morison mlisema hivo hadi mkafungua mashtaka
Ishu ya Morison ni tofauti sana na Aziz Ki.
1) Simba ilimuhitaji Aziz Ki kabla hata ya kuja Yanga, je kipi kilichomfanya achague Yanga badala ya Simba?

2) Morison aliondoka Yanga baada ya kugundua Simba ndiyo timu iliyokuwa katika kiwango bora zaidi Tanzania na kifedha walikuwa wako vyema pia. Ila sasa hivi Yanga ndiye mtawala kwa Tanzania, pesa nzuri utazipata Yanga kuliko Simba, na soka zuri utalipata Yanga pia kuliko upande wa pili ambao mpaka sasa watafutana mchawi. Mlichoshindwana na Aziz Ki ni pesa na mkiamini kuwa hana thamani hiyo. Saivi imekuaje mnamtaka mchezaji anayeipa Yanga hasara ya milioni 400? CPA OKW BOBAN SUNZU njoo muhasibu wa Msimbazi utie neno
 
Nilichogundua aziz ki sasahivi ana perform vizuri zaidi Kuliko mwaka Jana sababu

1. maelewano mazuri ndani na nje ya uwanja na Pacome na Yao Kumbuka hawa ni marafiki tangu wakiwa asec .

2. Maelewano mazuri na kocha gamondi na benchi la ufundi .

Amin usi amini akitoka Kwenye hili group atajitafuta ,hizi ni sababu za kiufundi ( technical ) na kijamii ( social).
 
Ishu ya Morison ni tofauti sana na Aziz Ki.
1) Simba ilimuhitaji Aziz Ki kabla hata ya kuja Yanga, je kipi kilichomfanya achague Yanga badala ya Simba?

2) Morison aliondoka Yanga baada ya kugundua Simba ndiyo timu iliyokuwa katika kiwango bora zaidi Tanzania na kifedha walikuwa wako vyema pia. Ila sasa hivi Yanga ndiye mtawala kwa Tanzania, pesa nzuri utazipata Yanga kuliko Simba, na soka zuri utalipata Yanga pia kuliko upande wa pili ambao mpaka sasa watafutana mchawi. Mlichoshindwana na Aziz Ki ni pesa na mkiamini kuwa hana thamani hiyo. Saivi imekuaje mnamtaka mchezaji anayepa Yanga hasara ya milioni 400? CPA OKW BOBAN SUNZU njoo muhasibu wa Msimbazi utie neno
Simba ni club isiyojielewa wameng'ang'ania kusajili wazee kale kahindi ka Miyomboni Singida.

ndiko kanako iumiza Simba kukiwa na mechi ambayo inaingizia Simba pesa nyingi katajitokeza na kudai.

kametoa pesa nyingi ili kapate sababu ya kuzichukua pesa baada ya hapo hakaonekani tena

Simba zindukeni hako siyo kafadhili kanajinufasha Kigwangala anaengea lakini hakuna anayemuunga mkono.
Ipo siku mtamuelewa poleni sana
 
Ishu ya Morison ni tofauti sana na Aziz Ki.
1) Simba ilimuhitaji Aziz Ki kabla hata ya kuja Yanga, je kipi kilichomfanya achague Yanga badala ya Simba?
Ni mara chache sana mchezaji atatanguliza uzalendo kabla ya maslahi esp hizi timu zetu za Africa. Uzalendo upo kwa mashabiki sio wachezaji. Suala ni nini kinawekwa mezani. Ukitaka kuamini atokee muarabu wa visima vya mafuta ainunue ihefu halafu atake kuwasajali kina max, aziz k na wengine.
 
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.

Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.

Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.

Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.

Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?
Vijana wa Rage ni mtihani kwa kweli!!! na ndio waliojazana pale umbumbumbu fc

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom