Simba imesajili wachezaji wengi wa kigeni na kuwapa mikataba minono ya kifedha huku wakitegemea kufika ktk hatua kubwa ya klabu bingwa ambayo imekuwa ni chanzo kikubwa cha sehemu ya mapato sasa tutarajie kuiona simba wakivurugana maana wengi wa viongozi wao wapo pale kwa masirahi Kumbukeni MO ni mfanyabiashara huwezi kukubali hasara ya namna hyo