Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,532
- Thread starter
-
- #121
Hakika wemejituma sana vijana, tuna bright future siku za usoni. Wajiandae yanga jumamosi kazi wanayoNimejikuta nalia walah tena yaani daaah sijui hata nisemehe hakika vijana wanastahili pongezi
Kwanza tushawavuruga tayar maana waijua tunapigwa hvyo tushawafunga tayar wale, tena tuwapige nyingi sana wawe na adabu maana walitudharau sanaHakika wemejituma sana vijana, tuna bright future siku za usoni. Wajiandae yanga jumamosi kazi wanayo
Enginia inasoma 1 bila kwanu uko ngapingapi ukoo??
Nilikwambia ushindi lazima aya njoo ujiteteeHalafu Swahiba hivi Nimekutag sehemu umeona kweli?
Hasira za hamsa za waarabu na zile za wacongomani tutazimalizia kwao hao, kwa mpira tuliompigia Leo mwarabu sijui jumamaosi iyo itakuwajeKwanza tushawavuruga tayar maana waijua tunapigwa hvyo tushawafunga tayar wale, tena tuwapige nyingi sana wawe na adabu maana walitudharau sana
Ila kiukweli tumeupiga bwanaHasira za hamsa za waarabu na zile za wacongomani tutazimalizia kwao hao, kwa mpira tuliompigia Leo mwarabu sijui jumamaosi iyo itakuwaje
Mwarabu tulimwelekezea kibra na hatimaye tume mchinja vizuri!!! Bado ndala fc jumamosi kazi wanayoHatimaeee zimepatkana point tatuuuu.
ndalafc matumbo motoooooMwarabu tulimwelekezea kibra na hatimaye tume mchinja vizuri!!! Bado ndala fc jumamosi kazi wanayo
Hamsa tulizopigwa na wakongomani,na wao lazima ziwahusu hakikand
ndalafc matumbo motooooo
Usilie utanifanya na mimi nilie unajuaNimejikuta nalia walah tena yaani daaah sijui hata nisemehe hakika vijana wanastahili pongezi
Hongera aiseeHakika wemejituma sana vijana, tuna bright future siku za usoni. Wajiandae yanga jumamosi kazi wanayo
Hii picha mlitudharau sana
Walitudharau sana ama kweli mpira ni dakika 90; kikubwa sasa tuwaombee as vital na j soura wapate draw apo baadaeMbongo alietengeneza hii picha Mungu anakuona, acheni dharura View attachment 1020860
Ati ,hivi nyie Al-Ahly mmekuja kuoa kweli au mnataka tu kumchezea binti yetu?
GD ni - 9