Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,532
Bila shaka kwa picha hizi wenye akili wamekuelewa sana.
Leo sendoff tu harusi kamili ni tarehe 16 apo apo kwa mchinaAti ,hivi nyie Al-Ahly mmekuja kuoa kweli au mnataka tu kumchezea binti yetu?
Chenga watule tu, lakini mwarabu Leo hatoboi
Tukutane jioni kwa mchinasimba wamepigwa hata kabla mechi haijaanza
we kijana shika adabu yakoLeo sendoff tu harusi kamili ni tarehe 16 apo apo kwa mchina
mda wa mkongomani kurudi kwao kuendeleza kazi yake ya zamani ya boringo inakaribia.we kijana shika adabu yako
jamani si nimesema ushike adabu yako au? huwezi shika adabu yako, basi kumbatia adabu yako wewe. Husitake kuniaribia j4 yangu.mda wa mkongomani kurudi kwao kuendeleza kazi yake ya zamani ya boringo inakaribia.
Mkuu hii ni Africa tofauti yetu kwenye kandanda ni ndogo sana, ndomana js soura tulimpiga 3 kavu hapa taifa, lakini kwao kule akamsumbua al ahly huyu aliyetupiga 5 na almanisura amfunge sema referee aliwabeba, Why not asife hapa tanzania.Wabongo tunajuwa mpira wa maneno tu,michezo tunayoweza kushinda ni ya majungu na ngono kama Bigbraza.fulltime Aly ahly -100000 Simba sports club- 0.
Mkuu hii ya leo ni sendoff mwali wetu tutamtunza kisawa kisawa lakini harusi kamili ni tarehe 16, mda wa mkongomani kurudi kwao kuendelea na kazi yake ya boringo umewadiaSimba anapigwa kiganja tena leo
Vyura fc hamtokiamini mtacho kiona mishale ya jioni, tukutane taifa tulijaze dimbasimba ni Kubuhu wa kupigwa tano, Kubuhu wamekubuhu sana na leo sindano kama kawaida
Mimi ndio mshenga wao hapa Bongo,tumekuja kuoa Baba Mkwe.Ati ,hivi nyie Al-Ahly mmekuja kuoa kweli au mnataka tu kumchezea binti yetu?