Simba, Chui, fisi 'waingia' Zanzibar

Simba, Chui, fisi 'waingia' Zanzibar

Hili mbona linafanywa kitambo tu na Waarabu waliopewa hifadhi baada ya Wamasai kufurushwa.
Ndege za mizigo hubeba na kupeleka. Uarabuni direct
Abu Dhabi Kuna mtaa wamejenga mfano wa stone town, na Kuna Zoo kubwa Ina wanyama Wote wa Serengeti hadi Digidigi. Hakuna mwarabu anaekuja kutalii bongo! Ukimuona mbugani nitag! Na Kuna wazungu wanaishia huko Arabuni kutalii hawaji Tena bongo!

Halafu tukiambiwa wabongo hatuna akili tunachukia! Why? Badala ya katiba ya Nyerere kusema Rais akifa madarakani ufanyike uchaguzi eti inasema msaidizi asimikwe! Ujinga mtupu mazee ya chama yote hayana akili matumbo makubwa kelele kibao kichwani empty!

Katiba mpya ni muhimu sana na vijana waisimamie isiruhusu kabisa Rais mwanamke na Rais asitoke Zenji, huu ujinga kama DPW vizazi vijavyo vitalaani sana na kutufananisha na wale wazee waliokubali utumwa na ukoloni na kuchapwa fimbo hadharani na wageni kisa tu ni watu weupe!
 
Kama kuna utapanyaji wa wanyamapori hovyo, basi raia waruhusiwe kufuga wanyama pori kadiri wawezavyo
 
Back
Top Bottom