Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,723
Nimezielewa vizuri ndo maana nikamjibu uyo aliyekazana na hoja ya viongozi wa yanga kuwepo kwenye tukio, alivyoeleza ndivyo nilivyomjibu otherwise ajikite kwenye hoja nyingine tofauti na iyoHoja zikizoko kwenye ile barua ulizielewa? Kama hujazielewa nenda kasome tena halafu urudi usome hiki ukichoandika hapa.