Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 36,220
- 71,796
Nyie mbona hampendi kuambiwa mmepiga bomu mochwariiMakolo mmepagawa mnachukua Hadi utani [emoji23][emoji38]
Nyie mbona hampendi kuambiwa mmepiga bomu mochwariiMakolo mmepagawa mnachukua Hadi utani [emoji23][emoji38]
Niende wapi tena nakati nimekuwa nakuwazia tu Mtoto mzuri [emoji8]Mtani nipo...upo na wewe?
Unipitie siku ya mechi trh 28 ili nikubebee glucose...maana hali itakua teteNiende wapi tena nakati nimekuwa nakuwazia tu Mtoto mzuri [emoji8]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app