Kitu kinachowatesa Utopolo, Simba bado Wapo gado...
Walitegemea uto Wakiwa juu ,Simba iwe imetepeta kama Wao enzi za Papaa Zahera..! Lkn wapiiii , Mnyama bado ni Bora, Bora Bora sana Kiasi Cha kuwa 7 bora Afrika.. hiki kinawaumiza Sana... Imebaki propaganda za mpira mbovu..!
Uto Vumilieni tu, ndio Soka lilivyo..